KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Habari zenu wadau.
Nilikuwa nataka kumtumia mtu hela kupitia NMB MOBILE APP.Bahati mbaya nimekosea namba yake ya mwisho ya account na hela imeenda kwa mtu mwingine (nilikuwa busy sikuzingatia sana jina la Acc).Nimeangalia vipengele kwenye NMB MOBILE APP sijaona option ya kurudisha muamala.
Naomba kujua nawezaje kurudisha hiyo hela.
Asante.
Update:Nimewasiliana na huduma kwa wateja wameniahidi kulishughulikia na watanijulisha.
Asanteni wote.
Nilikuwa nataka kumtumia mtu hela kupitia NMB MOBILE APP.Bahati mbaya nimekosea namba yake ya mwisho ya account na hela imeenda kwa mtu mwingine (nilikuwa busy sikuzingatia sana jina la Acc).Nimeangalia vipengele kwenye NMB MOBILE APP sijaona option ya kurudisha muamala.
Naomba kujua nawezaje kurudisha hiyo hela.
Asante.
Update:Nimewasiliana na huduma kwa wateja wameniahidi kulishughulikia na watanijulisha.
Asanteni wote.