Msaada: Namna ya kutibu ugonjwa huu.

Msaada: Namna ya kutibu ugonjwa huu.

JAK

Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
92
Reaction score
20
Nina ujauzito haujamaliza hata mwezi, tatizo langu matiti yananiuma sana, je nifanyeje ili kumaliza tatizo hili bila kuathiri ujauzito?. Nimeenda Hospitalini nikaabiwa eti yataacha yeyewe, je ni kweli?
 
Nina ujauzito haujamaliza hata mwezi, tatizo langu matiti yananiuma sana, je nifanyeje ili kumaliza tatizo hili bila kuathiri ujauzito?. Nimeenda Hospitalini nikaabiwa eti yataacha yeyewe, je ni kweli?

Amini ulichoambiwa na daktari hakika yataacha! By the way, ulimuona GP au Gynecologist?
 
Nina ujauzito haujamaliza hata mwezi, tatizo langu matiti yananiuma sana, je nifanyeje ili kumaliza tatizo hili bila kuathiri ujauzito?. Nimeenda Hospitalini nikaabiwa eti yataacha yeyewe, je ni kweli?

Habari yako,

Kwanza hongera kwa kuwa u mjamzito...

Pili nadhani huna tatizo lolote na kuuma huko kwa matiti si ugonjwa bali ni jambo la kawaida kwa mwanamke mjamzito huwa na hali hiyo kwenye hatua za mwanzoni mwa ujauzito...
Hali kama hiyo huwa inafanana kwa mbali na namna matiti yanavyouma kwa mwanamke anayekaribia kupata damu ya hedhi...
Sababu kubwa ni kutokana na mabadiliko ya vichocheo vya estrogen and progesterone hivyo damu nyingi huelekea kwa maitit na kuyafanya yawe kama yamejaa"kuvimbiana", yenye kuwa na hisia ya hali ya juu haswa uguswapo na kuuma...

Tegemea kupata hali hiyo ndani ya wiki 4 hadi 6 za mwanzo wa ujauzito na taratibu itapotea na utakuwa sawa baada tu ya "trimester" ya kwanza.
 
Habari yako,

Kwanza hongera kwa kuwa u mjamzito...

Pili nadhani huna tatizo lolote na kuuma huko kwa matiti si ugonjwa bali ni jambo la kawaida kwa mwanamke mjamzito huwa na hali hiyo kwenye hatua za mwanzoni mwa ujauzito...
Hali kama hiyo huwa inafanana kwa mbali na namna matiti yanavyouma kwa mwanamke anayekaribia kupata damu ya hedhi...
Sababu kubwa ni kutokana na mabadiliko ya vichocheo vya estrogen and progesterone hivyo damu nyingi huelekea kwa maitit na kuyafanya yawe kama yamejaa"kuvimbiana", yenye kuwa na hisia ya hali ya juu haswa uguswapo na kuuma...

Tegemea kupata hali hiyo ndani ya wiki 4 hadi 6 za mwanzo wa ujauzito na taratibu itapotea na utakuwa sawa baada tu ya "trimester" ya kwanza.
Nashukuru sana
 
Amini ulichoambiwa na daktari hakika yataacha! By the way, ulimuona GP au Gynecologist?
Hapo kwenye red sijakupata nakuomba unifafanulie vizuri.
 
Hapo kwenye red sijakupata nakuomba unifafanulie vizuri.

Sorry dada JAK, nilikuwa kwenye maandalizi ya sikukuu toka jana mchana! Nadhani utakuwa ushapata maelezo mazuri kwa wadau juu ya hali uliyoieleza. Kwa lugha nyepesi kuelewa, GP au General Practitioner ni daktari asiye na specialization, wakati gynecologist ni daktari aliye-specialize kwenye afya ya uzazi!
 
Last edited by a moderator:
. Yataacha yenyewe happ ndo kwanza uhondo umeanza bado hukavimba miguu nyonga haIjakaZa nk nk
 
Yataacha yenyewe mydear iyo ni hali ya kawaida sana,,..but ukiona its too much kamuone dr
 
Sorry dada JAK, nilikuwa kwenye maandalizi ya sikukuu toka jana mchana! Nadhani utakuwa ushapata maelezo mazuri kwa wadau juu ya hali uliyoieleza. Kwa lugha nyepesi kuelewa, GP au General Practitioner ni daktari asiye na specialization, wakati gynecologist ni daktari aliye-specialize kwenye afya ya uzazi!
Shukurani.
 
Back
Top Bottom