Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Nimefanya muamala wa ku deposit money Mbet kwa bahati mbaya haikufika na nikaambiwa hivi "Dear customer,your transaction is currently being processed.Please contact customer care for assistance "
Baada ya hapo nimepiga number 100 huduma kwa wateja sijasikia sehemu ya kuzungumza nao.
Hiyo ni tangu saa 15:27hr mpaka sasa sijapata sms yoyote kunijulisha kinachoendelea
Kila jirani yangu nayemuuliza ananiambia kama ni Airtel nisahau hiyo hela kurudi.
Msaada please
Baada ya hapo nimepiga number 100 huduma kwa wateja sijasikia sehemu ya kuzungumza nao.
Hiyo ni tangu saa 15:27hr mpaka sasa sijapata sms yoyote kunijulisha kinachoendelea
Kila jirani yangu nayemuuliza ananiambia kama ni Airtel nisahau hiyo hela kurudi.
Msaada please