Msaada namna ya kuwapata Airtel huduma kwa wateja

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
Nimefanya muamala wa ku deposit money Mbet kwa bahati mbaya haikufika na nikaambiwa hivi "Dear customer,your transaction is currently being processed.Please contact customer care for assistance "

Baada ya hapo nimepiga number 100 huduma kwa wateja sijasikia sehemu ya kuzungumza nao.

Hiyo ni tangu saa 15:27hr mpaka sasa sijapata sms yoyote kunijulisha kinachoendelea

Kila jirani yangu nayemuuliza ananiambia kama ni Airtel nisahau hiyo hela kurudi.
Msaada please
 
Jamaa wanakera sana hakunaga sehemu ya kuongea na mtoa huduma wanakubonyezesha manamba tu alafu wanakupa maelekezo.......kama tatizo lako halifiti kokote kwenye manamba yao baaasi imekula kwako
 
Airtel ni watu wasiojulikana huwezi kuwapata...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…