Hahabari wana jamiiforums wenzangu kwanza poleni na majukumu ya kila siku katka kulisukuma gurudumu la maendeleo! Tatzo langu ni kwamba nimepewa kaz as a manager katika Bar ambayo kiukweli cna uzoefu nayo lakn kwa mtizamo wangu wa harakaharaka inahtaj mabadiliko mengi nikianza na kuajil wahudumu wapya kwani waliopo washa zoea kaz mpaka wamepitiliza. Kadharika nahtaj kufufua jiko kwani lipo tatzo halina mtu stahk wa kumanage.
Pia kuna ushndan wa hali ya juu na wenzangu wa karibu. Kikubwa nawaomben mawazo yenu juu ya hayo na mengne meng ili kuniinua kijana mwenzenu katika maendeleo.asanteni na karibun.
Pia kuna ushndan wa hali ya juu na wenzangu wa karibu. Kikubwa nawaomben mawazo yenu juu ya hayo na mengne meng ili kuniinua kijana mwenzenu katika maendeleo.asanteni na karibun.