Msukule Msafi
Member
- Oct 10, 2018
- 55
- 47
Leseni ya e-commerce inatolewa na Brela/ wizara ya viwanda na Biashara. Haina uhusiano na TCRA. Domain ndo unalipia TZNIC kama utatumia kikoa cha .tz
Otherwise kama unaduka tayari na leseni ya duka...na bidhaa unazouza mtandaoni ni zile zile za dukani kwako basi hauhitJi leseni yoyote.