Msaada: Namtafuta Carlos Sendwa,

Lekanjobe Kubinika

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2006
Posts
3,019
Reaction score
579
Jamani naomba anayejua mtu huyu alipo anisaidie kumpata. Anaitwa Mr Carlos Sendwa, alisoma PCB sekondari ya Pugu STream G 1980-82. Wakati huo mimi nilikuwa PCB stream F, mwenyeji wa Mbeya. Wazazi wake walikuwa wanaishi Mikocheni (?), ni mhehe wa Iringa.

Tulipoteana kiaina hata sielewi, enz hizo hakukuwa na urahisi wa mawasiliano kama sasa. He was a very good friend of mine. Siku moja nadhani 2002 niliwona maeneo ya Muhimbili akitoka kupitia geti la MUHAS, nilikuwa kwenye daladala na sikufanikiwa kumshawishi konda asimame nishuke kumwona huyu bwana, niliporudi nikakuta ameshaondoka, nadhani alipanda daladala.

Why important now? Ihave remembered this friend so much that I feel it fair to start tracing him through this platform. Nikijua yuko wapi lazima tutafanya kila njia tukutane na angalau tusalimiane. Nimesoma nao watu wengi lakini this guy was special of his kind.

Do me a favour, please.

Leka
 
sio mahali pake hapa.kaweke kule kwenye matangazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…