Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,636 Reaction score 6,178 Oct 26, 2012 #1 Anaitwa Dr. Alice,ni mtaalamu wa tiba mbadala kwa kutumia vyakula na matunda.Nilipata kutizama kipindi chake Star TV ila nilishindwa "timing" katika kuchukua namba zake,mwenye contacts za huyu mama anisaidie wakuu.
Anaitwa Dr. Alice,ni mtaalamu wa tiba mbadala kwa kutumia vyakula na matunda.Nilipata kutizama kipindi chake Star TV ila nilishindwa "timing" katika kuchukua namba zake,mwenye contacts za huyu mama anisaidie wakuu.
Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,636 Reaction score 6,178 Oct 26, 2012 Thread starter #2 Daah!Wakuu mbona kimya!
Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 993 Oct 27, 2012 #3 Wapigie simu star tv watakupatia namba yake. Unashindwa kupata namba ya star tv?