Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,296
Habari wanajukwaa,
Kwa masikitiko nimepata habari ya kifo cha huyu mamangu Mama Mwambenja (mkurugenzi mtendaji wa iliyokuwa Covenant Bank).
Nilikuwa nafanya kazi zake na nahitaji kuziwakilisha kwa ndugu zake au mtu wake wa karibu, kwa yeyote mwenye contact na ndugu yeyote tafadhali naomba aniunganishe naye au kama kuna mtu anajua ni wapi nianzie kuwapata hawa ndugu tafadhari naomba msaada.
Pia soma > TANZIA - Mama Sabetha John Mwambenja afariki dunia
Kwa masikitiko nimepata habari ya kifo cha huyu mamangu Mama Mwambenja (mkurugenzi mtendaji wa iliyokuwa Covenant Bank).
Nilikuwa nafanya kazi zake na nahitaji kuziwakilisha kwa ndugu zake au mtu wake wa karibu, kwa yeyote mwenye contact na ndugu yeyote tafadhali naomba aniunganishe naye au kama kuna mtu anajua ni wapi nianzie kuwapata hawa ndugu tafadhari naomba msaada.
Pia soma > TANZIA - Mama Sabetha John Mwambenja afariki dunia