Msaada; Naomba kuelekezwa kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

Msaada; Naomba kuelekezwa kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

Brigadier Isaac

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2021
Posts
495
Reaction score
1,436
Habari za jioni , poleni na mahangaiko ya kutafuta riziki

Kama kichwa Cha habari juu kinavyojieleza hapo juu. Mimi binafsi nilikuwa na Wazo la kuanza kufuga kuku hawa wamayai kwa ajili ya biashara

Binafsi mawazo yangu ni kuanza na vifaranga sitini haya ni mawazo tu Sina experience yoyote na haya masuala Sijui gharama za kujenga banda, vifaranga,chakula yaani hata vitu vina vinavyohitajika Sijui Hapa nilipo Sijui chochote nipo na assumption tu.

Naomba msaada wa mawazo kwa wenye experience poleni kwa usumbufu.
 
Hapo juu kuna uzi(uzi wa Mlachake) unaoelezea ufugaji wa kuku wa kisasa hapo wafugaji na wasio wafugaji wametoa michango yao kwa kina ;pia tafuta nyuzi nyingine kwa ku Google, hapa JF mada nyingi za ufugaji/ biashara zimeongelewa sana tena kwa kirefu.
 
Hapo juu kuna uzi(uzi wa Mlachake) unaoelezea ufugaji wa kuku wa kisasa hapo wafugaji na wasio wafugaji wametoa michango yao kwa kina ;pia tafuta nyuzi nyingine kwa ku Google, hapa JF mada nyingi za ufugaji/ biashara zimeongelewa sana tena kwa kirefu.
Asante
 
Habari za jioni , poleni na mahangaiko ya kutafuta riziki

Kama kichwa Cha habari juu kinavyojieleza hapo juu. Mimi binafsi nilikuwa na Wazo la kuanza kufuga kuku hawa wamayai kwa ajili ya biashara

Binafsi mawazo yangu ni kuanza na vifaranga sitini haya ni mawazo tu Sina experience yoyote na haya masuala Sijui gharama za kujenga banda, vifaranga,chakula yaani hata vitu vina vinavyohitajika Sijui Hapa nilipo Sijui chochote nipo na assumption tu.

Naomba msaada wa mawazo kwa wenye experience poleni kwa usumbufu.
Nitumie ujumbe kwa 0760150144. Uweze kupata mafunzo, na chakula kwa bei ya jumla
 
Nitumie ujumbe kwa 0760150144. Uweze kupata mafunzo, na chakula kwa bei ya jumla
Mambo yakutumiana msg hayafai, weka mafunzo yako humu humu na Bei ya vyakula wengine wakivutiwa watakuja.

Na kuku wangu wa mayai zaidi ya 1000 wanaenda wiki ya 19 lakini wamegoma kudondosha yai. Licha ya kununua chakula cha kiwandani kuanzia Wana siku ya kwanza mpaka leo.

Lakini pia uzito wao walionao ni uzito stahiki kulingana na umri wao.

Nimeanza kupata stress.
 
Wako kwenye cages?
Mambo yakutumiana msg hayafai, weka mafunzo yako humu humu na Bei ya vyakula wengine wakivutiwa watakuja.

Na kuku wangu wa mayai zaidi ya 1000 wanaenda wiki ya 19 lakini wamegoma kudondosha yai. Licha ya kununua chakula cha kiwandani kuanzia Wana siku ya kwanza mpaka leo.

Lakini pia uzito wao walionao ni uzito stahiki kulingana na umri wao.

Nimeanza kupata stress.
 
Back
Top Bottom