donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Straight to the point.
When we were growing up, tulizoea kuona Yale ma mende makubwa makubwa flani ambayo in those times we thought they were originated from the lavatories.
Ila kwa sasa kuna hivi vi periplaneta americana vidogovidogo hivi vinasumbua balaa. Ukichek chini ya sofa au sehemu nyingine za maficho ni balaa.
Maajabu yake sasa mchana huwaoni, lala usiku halafu ingia sebuleni ghafla washa taa uone mambo vinakufanyia. Vinaanza kwanza toka nduki. Seriously mwenyewe kujua solution yao please.
When we were growing up, tulizoea kuona Yale ma mende makubwa makubwa flani ambayo in those times we thought they were originated from the lavatories.
Ila kwa sasa kuna hivi vi periplaneta americana vidogovidogo hivi vinasumbua balaa. Ukichek chini ya sofa au sehemu nyingine za maficho ni balaa.
Maajabu yake sasa mchana huwaoni, lala usiku halafu ingia sebuleni ghafla washa taa uone mambo vinakufanyia. Vinaanza kwanza toka nduki. Seriously mwenyewe kujua solution yao please.