chakii;
Hizi note huwa zinatolewa kwa series... Mfano hapo chini nimekuwekea series mbalimbali ya dola kumi ya Marekani... Kujua ni series ya wakati gani,angalia note yenyewe itakuwa imeandikwa mwaka.
Sisi tunapenda kutumia neno expire lakini si kwamba ndo inakuwa mwisho wake wakutumika...US hakuna kitu kama kuexpire kwa dollar,kule waweza tumia dollar yoyote ya series yoyote....Huku tunakoita kuexpire kunatokana na mabenki yetu na bureau de change kukubali dollars ambazo series zake ni recently... Mfano kuna kipindi Tz walikuwa wanakubali dollars za series ya 2004 kwenda mbele...So si vizuri saana kutunza dollar kwenye kibubu...Kuna mkuu hapo juu kapendekeza akaunti ya kufungua benki kama nia yako ni kuhifadhi dollar...Ni hayo tu.
View attachment 1349982View attachment 1349986View attachment 1350042
Sent using
Jamii Forums mobile app