Msaada: Naomba kujua kuhusu sheria ya ubomoaji majengo

Msaada: Naomba kujua kuhusu sheria ya ubomoaji majengo

Mhenga2

Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
66
Reaction score
26
Naomba kujua sheria ya ubomoaji majengo upoje? Je kama ni utanuzi wa bara bara kwamba halikuwepo hilo wazo mwanzo walipokua wanajenga watu sheria inasemaje? Na mwisho kama watu walijenga kwenye plan ya barabara tangu mwanzo hatua hii inachukuliwaje? Ni hayo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua sheria ya ubomoaji majengo upoje? Je kama ni utanuzi wa bara bara kwamba halikuwepo hilo wazo mwanzo walipokua wanajenga watu sheria inasemaje? Na mwisho kama watu walijenga kwenye plan ya barabara tangu mwanzo hatua hii inachukuliwaje? Ni hayo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ile iliyofanya watu kubomolewa nyumba zao I doubt kama kweli ni Barabara labda tunajenga International airport au runaways maana siyo kwa upana ule.Uonevu uliovuka miaka kwa watu wa chini na hasa walio support upinzani ndivyo nionavyo Mimi.

Chuki,visasi na ubaguzi of highest level
 
Naomba kujua sheria ya ubomoaji majengo upoje? Je kama ni utanuzi wa bara bara kwamba halikuwepo hilo wazo mwanzo walipokua wanajenga watu sheria inasemaje? Na mwisho kama watu walijenga kwenye plan ya barabara tangu mwanzo hatua hii inachukuliwaje? Ni hayo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama ulikuwa uko ndani ya sheria, umejenga baada ya kupata kibari cha kujenga hapo, serikali inabidi ikulipe fidia. (Value of your house). Kama hauna kibari inaweza kuwa tatizo.
 
Kama ulikuwa uko ndani ya sheria, umejenga baada ya kupata kibari cha kujenga hapo, serikali inabidi ikulipe fidia. (Value of your house). Kama hauna kibari inaweza kuwa tatizo.
Sure na mtu hawezi kujenga bila kibali
 
Back
Top Bottom