msaada naomba kujua shule nzur ya private zenye michepua ya sayansi

Juma Mfumya

New Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
3
Reaction score
0
Nimejuta maana nimechaguliwa HGL wakat cnauwezo nayo na mkuu wa shule ana kataa kutoa uamisho
 
Huko Unakotaka Ndo Unataka Kuambulia Zero Ya Advance ! Ushaur;komaa Na Hyo Hyo HGL,utatoka Vzur Tu,kwan Hzo Science Mnazonga'nga'nia Wakat Hamzijui N Majanga Tupuuuuu!! Weng Wanalia Huku Kitaa Kujfanya Ma PCM,kufuata Mkumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…