Msaada, naomba kujua tatizo la hii gari

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,286
Reaction score
39,418
Wakuu salama? Kuna gari nataka ni import imesimama sana nmeipenda ni toyota ist ila hapa sijapaelewa kwenye picha. Mafundi nielewesheni shida ni nini? Nisije nunua gari kumbe mbovu.

Kwenu mafundi.

 
Wakuu salama? Kuna gari nataka ni import imesimama sana nmeipenda ni toyota ist ila hapa sijapaelewa kwenye picha. Mafundi nielewesheni shida ni nini? Nisije nunua gari kumbe mbovu. Kwenu mafundiView attachment 1715856
 
Boss kama umeanza kuchat nao waombe wakuambie auction grade ya hiyo gari na pia waombe auction/inspection sheet.

Ukipata hivo utajua u-serious wa ilo tatizo.

Ila kama una doubts tafuta IST nyingine mbona zipo kibao tu.
 
Boss kama umeanza kuchat nao waombe wakuambie auction grade ya hiyo gari na pia waombe auction/inspection sheet.

Ukipata hivo utajua u-serious wa ilo tatizo.

Ila kama una doubts tafuta IST nyingine mbona zipo kibao tu.


Hio mkuu nipe mwongozo
 
Oil leak hiyo gari
Ukiwa unapaki inavuja kidogo kidogo yani ila itakusumbua maana kila mda fulani wewe wa kuweka oil na kipindi litafikia kukaanga injini.
Tafuta gari lengine.achana na hilo
 
Oil leak hiyo gari
Ukiwa unapaki inavuja kidogo kidogo yani ila itakusumbua maana kila mda fulani wewe wa kuweka oil na kipindi litafikia kukaanga injini.
Tafuta gari lengine.achana na hilo
View attachment 1716127

Mkuu haitengenezeki? Unajua kupata gari used ina kila kitu ni ngumu sana. Nmetuma report ya inspection ya gari icheki mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…