Msaada: Naomba kujuzwa matumizi ya Chassis Number

Lee

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
43,973
Reaction score
150,463
Wakuu salaam na heri ya Jumapili,

Naomba kueleweshwa juu ya matumizi ya chassis number kwenye magari pale ambapo unakuwa hujapata plate number ya gari husika /japo siku hizi watu wengine wanakuwa na plate number tayari ila wanatumia plate number za chassis tofauti na T.

Shukrani
 
...Hao wanaoendesha magari ilhali washafanya registration ya gari husika, ni kwamba wanavunja sheria, kwa kua hairuhusiwi kuendesha gari likiwa limebandikwa chasis no wakati tayari una plate no T.... Kulingana na Road Traffic Act
 
...Hao wanaoendesha magari ilhali washafanya registration ya gari husika, ni kwamba wanavunja sheria, kwa kua hairuhusiwi kuendesha gari likiwa limebandikwa chasis no wakati tayari una plate no T.... Kulingana na Road Traffic Act
Ok asante ...lakini utaratibu wa kuitumia kabla ya kumaliza registration ukoje ?

Kuna limitations ya mda ? Namaanisha kwenye matumizi ya kila sku ?
 
Ok asante ...lakini utaratibu wa kuitumia kabla ya kumaliza registration ukoje ?

Kuna limitations ya mda ? Namaanisha kwenye matumizi ya kila sku ?
Mwisho saa 12 jioni kutembelea Chassis
 
Reactions: Lee
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…