Ok asante ...lakini utaratibu wa kuitumia kabla ya kumaliza registration ukoje ?...Hao wanaoendesha magari ilhali washafanya registration ya gari husika, ni kwamba wanavunja sheria, kwa kua hairuhusiwi kuendesha gari likiwa limebandikwa chasis no wakati tayari una plate no T.... Kulingana na Road Traffic Act
Mwisho saa 12 jioni kutembelea ChassisOk asante ...lakini utaratibu wa kuitumia kabla ya kumaliza registration ukoje ?
Kuna limitations ya mda ? Namaanisha kwenye matumizi ya kila sku ?