Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 442
- 1,655
Mimi na mke wangu tulifunga ndoa ya kiserikali about 2 years ago.
Hatujawahi kuishi pamoja ni mwendo wa mikoa tofauti.
Kuna misunderstanding za hapa na pale tunasuluhishana maisha yanasonga mbele
Hivi karibuni mke kang'ang'ania tuvunje ndoa. Nimemwambia acheck utaratibu ukoje akadai talaka anayoitaka.
Je utaratibu wa kisheria ukoje hapo kukamilisha jambo hili.??
Hatujawahi kuishi pamoja ni mwendo wa mikoa tofauti.
Kuna misunderstanding za hapa na pale tunasuluhishana maisha yanasonga mbele
Hivi karibuni mke kang'ang'ania tuvunje ndoa. Nimemwambia acheck utaratibu ukoje akadai talaka anayoitaka.
Je utaratibu wa kisheria ukoje hapo kukamilisha jambo hili.??