Msaada: Naomba msaada wa Kanuni za Utumishi wa Umma.

Msaada: Naomba msaada wa Kanuni za Utumishi wa Umma.

mwankuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2010
Posts
334
Reaction score
120
Salamu wanajamvi!

Kama kuna mtu yeyote ambaye ana softcopy ya kanuni za utumishi wa umma 2003 (Public Service Regulations 2003), tafadhali sana naomba nisaidieni.

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom