Msaada: Naomba wimbo wa Hawatuwezi wa Nako 2 Nako na Enika

Msaada: Naomba wimbo wa Hawatuwezi wa Nako 2 Nako na Enika

central midfielder

Senior Member
Joined
Apr 14, 2023
Posts
146
Reaction score
215
Habari za jioni ndugu zangu, NATUMAINI MUWAZIMA WA AFYA.

Msaada kidogo. Naombeni mwenye video ya Nako 2 nako HAWATUWEZI ft Enika.

YouTube kwa sasa haipatikani,Mwenye nayo labda anayo hata kwa Pc,Simu n.k naiomba plz.

Au kama una link unaweza kunipatia nikai download.

Msada tafadhali.

ASANTENI
 
Habari za jioni ndugu zangu, NATUMAINI MUWAZIMA WA AFYA.

Msaada kidogo. Naombeni mwenye video ya Nako 2 nako HAWATUWEZI ft Enika.

YouTube kwa sasa haipatikani,Mwenye nayo labda anayo hata kwa Pc,Simu n.k naiomba plz.

Au kama una link unaweza kunipatia nikai download.

Msada tafadhali.

ASANTENI

Mapinduzi kila siku kama BIG yupo TZ.

Itakuwa ngumu kutuharibia people wanatuaminia

Mziki wetu unagomba mbali sio tu hapa Tanzania.

"IZI" aliua sana kwenye ilo goma.
 
Sambo na thoughts, loss
That's man of experience
Flow hili reverend kwa frequency, draw
Ni kama Runda na defence
Ona difference ya illness na fakeness
Kick na snare, na evidence
Na-spit sense, future participle tense
Collabo la 50 cents
Fake emcees wana-spit nonsense
Hawa make sense, hii kwao ni rough sentence
Nawaua mi kila sentence
Hence, nakanyaga clutch, na-change gear na pace
Ka ace, hence mpaka classic
Sht world cup, park ya Jurassic
Wasanii mnaleta traffic
Siwaafiki, nyie wanafiki
Nawameza ka meli ya Antlantic
Need a hustler, niko maabara
Trap star viagara, muadhara
 
Sambo na thoughts, loss
That's man of experience
Flow hili reverend kwa frequency, draw
Ni kama Runda na defence
Ona difference ya illness na fakeness
Kick na snare, na evidence
Na-spit sense, future participle tense
Collabo la 50 cents
Fake emcees wana-spit nonsense
Hawa make sense, hii kwao ni rough sentence
Nawaua mi kila sentence
Hence, nakanyaga clutch, na-change gear na pace
Ka ace, hence mpaka classic
Sht world cup, park ya Jurassic
Wasanii mnaleta traffic
Siwaafiki, nyie wanafiki
Nawameza ka meli ya Antlantic
Need a hustler, niko maabara
Trap star viagara, muadhara
Umemix maneno humo hatari, hiyo verse ya Ibra da hustler ni ngumu usingeweza kuielewa. Nitakusaidia

Flow hili reverend kwa frequency, draw✖️
Flow hii deliverence kwa frequency, blow ✔️

Ni kama runda na defence✖️
Ni kama loon ndani dface(graffiti)✔️

Hii kwao ni rough sentence ✖️
Hii kwao ni life sentence ✔️

Na-change gear na pace✖️
Na-change gear na-press✔️

Need a hustler, niko maabara✖️
Ni da huslter, niko maabara ✔️

Trap star viagara✖️
Tracks ka Viagra✔️
 
Umemix maneno humo hatari, hiyo verse ya Ibra da hustler ni ngumu usingeweza kuielewa. Nitakusaidia

Flow hili reverend kwa frequency, draw✖️
Flow hii deliverence kwa frequency, blow ✔️

Ni kama runda na defence✖️
Ni kama loon ndani dface(graffiti)✔️

Hii kwao ni rough sentence ✖️
Hii kwao ni life sentence ✔️

Na-change gear na pace✖️
Na-change gear na-press✔️

Need a hustler, niko maabara✖️
Ni da huslter, niko maabara ✔️

Trap star viagara✖️
Tracks ka Viagra✔️
Haha asante chief,bars mbili hapo ni keyboard tu ime mess up,ila nyingineee sikua nasikia vizuri,out of 10 nimepata ngapi
 
Haha asante chief,bars mbili hapo ni keyboard tu ime mess up,ila nyingineee sikua nasikia vizuri,out of 10 nimepata ngapi
5/10
Hiyo verse alikua nayo muda mrefu anatembea nayo anatafutia wimbo wa kuipachika ndio ikatokea hiyo ya hawatuwezi. sasa hivi bila back vocal sidhani kama anaikumbuka yote
 
5/10
Hiyo verse alikua nayo muda mrefu anatembea nayo anatafutia wimbo wa kuipachika ndio ikatokea hiyo ya hawatuwezi. sasa hivi bila back vocal sidhani kama anaikumbuka yote
Naijua Ali spit kipindi yupo kenya ukoo flani mau mau,nahisi hata ngoma inaitwa hivyo hivyo ukoo Fulani
 
Back
Top Bottom