kkkt
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 364
- 115
Habari! Nimeskia kwamba chuo tajwa hapo juu wanatoa diploma hata kwa mwalim idara ya msingi sasa mimi inanichanganya kwakua kuna watu wanasoma hiyo kitu ila nikiwauliza baathi ya maswali wanashindwa sasa naomba mwenye anajua mawasiliano ya hao jamaa niwaulize kwa undani kidogo ili nianze kujiendeleza kama itanishawishi!!! Najtahdi kuandika ila ivyoivyo mi simtaalam sana wakuandika ahsante