Naomba mnisaidie wadau,
Mwaka jana nilipatwa na tatizo la shinikizo la juu la damu lakini wauguzi walinishauri na kuniambia ni tatizo la kupita hamna haja ya kutumia dawa za presa lakini kwa sasa ni takribani mwaka sasa kuna maumivu kwenye upande wangu wa kushoto.
Maumivu hayo huwa nayasikia kila ninapo jinyoosha au ninapo beba vitu vizito pia nikijaribu kuchokoza tatizo linaamsha dalili za presha huwa nahisi maumivu yanayo extend mpaka kwenye mkono na wakati mwingine hata shingo.
Pia nimekuwa nikifanya mazoezi kila siku kula mlo kamili ila cha kushangaza tatizo lipo palepale naomba msaada kwa anayefahamu kuhusu hili tatizo.
Mwaka jana nilipatwa na tatizo la shinikizo la juu la damu lakini wauguzi walinishauri na kuniambia ni tatizo la kupita hamna haja ya kutumia dawa za presa lakini kwa sasa ni takribani mwaka sasa kuna maumivu kwenye upande wangu wa kushoto.
Maumivu hayo huwa nayasikia kila ninapo jinyoosha au ninapo beba vitu vizito pia nikijaribu kuchokoza tatizo linaamsha dalili za presha huwa nahisi maumivu yanayo extend mpaka kwenye mkono na wakati mwingine hata shingo.
Pia nimekuwa nikifanya mazoezi kila siku kula mlo kamili ila cha kushangaza tatizo lipo palepale naomba msaada kwa anayefahamu kuhusu hili tatizo.