Msaada napata hedhi mara kwa mara baada ya kuchoma sindano ya uzazi wa mpango

Msaada napata hedhi mara kwa mara baada ya kuchoma sindano ya uzazi wa mpango

miss chuga

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2019
Posts
303
Reaction score
660
Habari wapendwa? Naombeni msaada nitumie dawa gani ili niache kublid maana toka nichome sindano nablid tu, nikipumzika ni siku 2 nablid tena yani bila mpangilio

Naweza nikawa nimetoka zangu sina hili wala lile ghafla damu zinatoka pia nakosa na hisia za kufanya mapenzi siyo kama mwanzo kabla sijachoma. Msaada tafadhali anayefahamu dawa inayoweza kunisaidia nikawa sawa.
 
Watanzania hua tunajiingiza katk baadh ya mambo bila kuyajua kiundani, nasema ivo sababu izo depo provera ipo wazi zina side iffect na kwa bahat mbaya ivyo vituo vya afya mnashnikizw kupew bila kuchunguzwa kama itakufaa. Kiufupi ayo ni moja ya madhara ya kutumia depo yapo meng mfano baada ya kuacha kuna watu husumbuka kupata ujauzito au kutopata kabisa.

Izo dawa zina synthetic hormone inayozuia mayai ya kike kupevuka kwaiyo unapozid kuchoma iyo sindano huenda mayai yakawa hayawez pevuka maisha yako yote japo utapat heth. Pia moja ya madhara makubwa ya izo dawa ni bones osteoporosis niishie apo kwa manufaa ya wengne ila kwa wew rud kwa dactar wako pia muombe ujue WINGI WA DAMU YAKO
 
Watanzania hua tunajiingiza katk baadh ya mambo bila kuyajua kiundani, nasema ivo sababu izo depo provera ipo wazi zina side iffect na kwa bahat mbaya ivyo vituo vya afya mnashnikizw kupew bila kuchunguzwa kama itakufaa. Kiufupi ayo ni moja ya madhara ya kutumia depo yapo meng mfano baada ya kuacha kuna watu husumbuka kupata ujauzito au kutopata kabisa. Izo dawa zina synthetic hormone inayozuia mayai ya kike kupevuka kwaiyo unapozid kuchoma iyo sindano huenda mayai yakawa hayawez pevuka maisha yako yote japo utapat heth. Pia moja ya madhara makubwa ya izo dawa ni bones osteoporosis niishie apo kwa manufaa ya wengne ila kwa wew rud kwa dactar wako pia muombe ujue WINGI WA DAMU YAKO
Mtaalamu kamaliza, ila inaogopesha sana
 
Watanzania hua tunajiingiza katk baadh ya mambo bila kuyajua kiundani, nasema ivo sababu izo depo provera ipo wazi zina side iffect na kwa bahat mbaya ivyo vituo vya afya mnashnikizw kupew bila kuchunguzwa kama itakufaa. Kiufupi ayo ni moja ya madhara ya kutumia depo yapo meng mfano baada ya kuacha kuna watu husumbuka kupata ujauzito au kutopata kabisa.

Izo dawa zina synthetic hormone inayozuia mayai ya kike kupevuka kwaiyo unapozid kuchoma iyo sindano huenda mayai yakawa hayawez pevuka maisha yako yote japo utapat heth. Pia moja ya madhara makubwa ya izo dawa ni bones osteoporosis niishie apo kwa manufaa ya wengne ila kwa wew rud kwa dactar wako pia muombe ujue WINGI WA DAMU YAKO
Inatisha.

Na wengine hufikia kufanya hivyo just kuwafurahisha mabwana zao ambao hawana hata lengo la kuwaoa,ni kusema wanajitia ubovu siku akijichanganya kijana innocent hajui lolote anabeba zigo miaka 15 hata mimba ya kusingiziwa hamna.
 
Inatisha.

Na wengine hufikia kufanya hivyo just kuwafurahisha mabwana zao ambao hawana hata lengo la kuwaoa,ni kusema wanajitia ubovu siku akijichanganya kijana innocent hajui lolote anabeba zigo miaka 15 hata mimba ya kusingiziwa hamna.
Ndo ivo kaka mkubwa kuna vitu wanawake wanafanya adi unashangaa anatafuta nn hasa, apo ukimuuliza aliweka ivo ili iwaje jibu ni ili mpenz wake amkaze mda wowote atakao asishke mimba. Sasa mtu kama huyo manaake hajui y yupo ktk mahusiano. Vinginevyo ni malaya
 
Kabla ya kuchoma hiyo sindano hukuambiwa kuhusu maudhi yake?

Kuna mdau hapo juu ameshakupa tiba,maudhi yakizidi muone daktari
 
Back
Top Bottom