Msaada napata maumivu makali kwenye Magoti (joint zinauma sana nikikunja)

Msaada napata maumivu makali kwenye Magoti (joint zinauma sana nikikunja)

E_Raymond

Member
Joined
Jul 4, 2021
Posts
29
Reaction score
64
Habar zenu

Nina miaka 25 Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hili la magoti zaid ya miez sita sasa nimetumia dawa mbali mbali za maabara sijapata nafuu nimepanda jukwaani naombeni ushauri kwa wataalamu wanaofahamu dawa za asili au za maabara ,kwenu wakuu
 
Habar zenu

Nina miaka 25 Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hili la magoti zaid ya miez sita sasa nimetumia dawa mbali mbali za maabara sijapata nafuu nimepanda jukwaani naombeni ushauri kwa wataalamu wanaofahamu dawa za asili au za maabara ,kwenu wakuu
Kula bamia Kama huzipend sagga kama juice afu unywe,pia unaweza kununua vidonge vinaotwa joints support
 
Mlenda bamia usiache kwa mulo wako.... pungza nyama nyekundu...piga white meat sawaa bosss
 
Habar zenu

Nina miaka 25 Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hili la magoti zaid ya miez sita sasa nimetumia dawa mbali mbali za maabara sijapata nafuu nimepanda jukwaani naombeni ushauri kwa wataalamu wanaofahamu dawa za asili au za maabara ,kwenu wakuu
Kazi zako ni za kusimama mda. Mrefu AAU kukaa mda mrefu?
 
Tumia asali original na mdalasini, na Black seed oil kijiko kidogo cha chai kila asubuhi, acha nyama nyekundu kwa muda
 
Magonjwa mengi ya viungo,mishipa, misuli, mifupa, joints yanatokana na matatizo ya kifamilia na kiukoo kutokana na mila na desturi zenu za mazindiko na matambiko ya kutoa viungo vya wanyama kwa mizimu! Hayo ndo matokeo!
 
Magonjwa mengi ya viungo,mishipa, misuli, mifupa, joints yanatokana na matatizo ya kifamilia na kiukoo kutokana na mila na desturi zenu za mazindiko na matambiko ya kutoa viungo vya wanyama kwa mizimu! Hayo ndo matokeo!

Ila kwenye familia yetu hakuna mwenye tatizo hili ni mimi tu before nlikuwa nasumbuliwa na vidonda vya tumbo sasa kuna dawa nlitumia kwa muda sana nikapona za kampuni ya suma ila baada ya kupona tatizo la joint likaanza na nakumbuka hyo siku nlikwa nacheza mpira mpaka sasa yanauma
 
Habar zenu

Nina miaka 25 Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hili la magoti zaid ya miez sita sasa nimetumia dawa mbali mbali za maabara sijapata nafuu nimepanda jukwaani naombeni ushauri kwa wataalamu wanaofahamu dawa za asili au za maabara ,kwenu wakuu
Pole Sana mungu atakujaalia utapona Tu Kwa uwezo wake
 
Kusimama mda mrefu ila sio masaa zaid ya 8
Tafuta gome la mkorosho ,mzambarau,mprachichi, mwembe chemsha kunywa asbh na jioni kikombe cha chai alafu kama unapenda kula nyama nyekundu ziache kabisa baada ya hapo tengeneza mazingira ya kuwa unapata supu ya bamia kila siku walau siku saba utanishukuru
 
Tafuta gome la mkorosho ,mzambarau,mprachichi, mwembe chemsha kunywa asbh na jioni kikombe cha chai alafu kama unapenda kula nyama nyekundu ziache kabisa baada ya hapo tengeneza mazingira ya kuwa unapata supu ya bamia kila siku walau siku saba utanishukuru

Nashukuru sanaa mkuu
 
Back
Top Bottom