Msaada! napata period for two days ni kawaida

mangoda

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
19
Reaction score
7
Jamani,

Kuanzia January mpka leo napata period for two days. Na ni kidogo sio kama ilvyokuwa mwanzo. Je, ni kawaida? Mwanzoni nilikuwa napata for four days au siku nyingine siku tatu. I am scared, sjui ni hali ya kawaida au vipi. Wanawake wa JF na JF doctors please nisaidieni. Na hii imeanza baada ya kuanza kutumia pads za Tasly, je, kuna connection yoyote kweli?
 
Nakushauri umwone daktari wa wanawake haraka.
 
Je, umewahi kutumia vidonge vya kuzui mimba au kuchoma sindano za kuzuia mimba huko siku za nyuma? Mzunguko wako ni wa siku ngapi? 30, 28, 21 au?? Hebu fafanua hilo ili Doctor nifanye kazi yangu ipasavyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…