Msaada: Napata ujumbe huu ninapolog in TCU

Kaunga

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
12,529
Reaction score
13,494
SORRY, YOU DO NOT HAVE ENOUGH O-LEVEL CREDITS TO APPLY
YOU NEED ATLEAST 3 C's IN ANY OF THE O-LEVEL SUBJECTS
IF YOU HAVE RESEATED O-LEVEL EXAMS, ADD FORM 4 SEATS


Ninamjazia dogo mmoja form, lakini ukienda hiyo kwenye re-seat page haina kitu. Sijui cha kufanya, misimu yao haipokelewi.
 
ingia kwenye add form 4 seatsing,ingiza namba ya form 4 aliyo resitia alaf na mwaka alio risit mfano P0101/0033/2010,ALAF ENDELEA KWENYE APPLICATION KUSHOTO
 
ingia kwenye add form 4 seatsing,ingiza namba ya form 4 aliyo resitia alaf na mwaka alio risit mfano P0101/0033/2010,ALAF ENDELEA KWENYE APPLICATION KUSHOTO

Nimeingia lakini page haioneshi kitu, ndio maana nimechanganyikiwa.
 
Mie hapo sijaelewa!! Unaposema umeingia halaf page haina kitu!! Sielewi hapo! Asa kama huja- add namba aliyorisiti nayo utaonaje kitu kwenye page na wakat wewe hujaweka chochote? Au wewe ulitegemea ukisha-click > add form 4 sit ukute nini? Ukisha-click hyo add sit, ni lazima ukute empty page for you to write what you want to write!!! Au mi ndo Mgeni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…