Msaada: Napatwa na maumivu makali kifuani kama nachomwa kisu

Pamoja Mkuu, Kikubwa Huyu Ndugu ameyasoma yote tulomshauri.
 

Safi sana mkuu maana umesaidia wengi
 
Hii hali huwa inanitokea ninapokunywa kvant nikichanganya na soda ya coca
 
Mtoa mada ajibu comment anaweza akawa hatupo naye tena.. magonjwa ya moyo sio kitu kizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…