Msaada, napatwa na muwasho sehemu za siri

Msaada, napatwa na muwasho sehemu za siri

frem zero

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
595
Reaction score
875
Wakuu habari.

Jamani wiki iliyopita nilipata muwasho sehemu za siri usio wa kawaida. Muwasho huo uliambatana na uchafu wa rangi ya maziwa uliofanana na mtindi lakini haukuwa na harufu. Yaani niliwashwa hadi nikapata michubuko na nunu ikavimba.

Nikakimbilia hospitali. Nilimueleza daktari hali halisi wala sikuficha kitu,akaamuru nipimwe mkojo. Majibu yalitoka nina u.t.i nyingi sana. Akaniandikia dawa ziitwazo cipro na doxy. Dawa hizi zimenisaidia kidogo ila zimeathiri afya yangu maana ninanyonyesha, hivyo maziwa hayatoki vizuri kama mwanzo.

Swali: je u.t.i inaweza kusababisha muwasho sehemu za siri unaoambatana na uchafu ?
 
Hilo tatizo dogo sana hakikisha kila siku unajipaka mafuta ya nazi pamoja na huo uume kabla hujalala au ule mda unavaa uende kwenye mahangaiko yako..
Binafsi mm ni miongoni mwa niliokuwa natoa pumba kabisa japo kila siku nabadilisha chupi/boxer ila lilinisumbua sana siku nakuja kujipaka hayo huwezi amini tatizo limeisha saa hivi ni kusafi hata dalali hiyo haipo kabisa nimepona na kila siku bado natumia
 
Wakuu habari.

Jamani wiki iliyopita nilipata muwasho sehemu za siri usio wa kawaida. Muwasho huo uliambatana na uchafu wa rangi ya maziwa uliofanana na mtindi lakini haukuwa na harufu. Yaani niliwashwa hadi nikapata michubuko na nunu ikavimba.

Nikakimbilia hospitali. Nilimueleza daktari hali halisi wala sikuficha kitu,akaamuru nipimwe mkojo. Majibu yalitoka nina u.t.i nyingi sana. Akaniandikia dawa ziitwazo cipro na doxy. Dawa hizi zimenisaidia kidogo ila zimeathiri afya yangu maana ninanyonyesha, hivyo maziwa hayatoki vizuri kama mwanzo.

Swali: je u.t.i inaweza kusababisha muwasho sehemu za siri unaoambatana na uchafu ?
Ndiyoo
 
Sawa
Hilo tatizo dogo sana hakikisha kila siku unajipaka mafuta ya nazi pamoja na huo uume kabla hujalala au ule mda unavaa uende kwenye mahangaiko yako..
Binafsi mm ni miongoni mwa niliokuwa natoa pumba kabisa japo kila siku nabadilisha chupi/boxer ila lilinisumbua sana siku nakuja kujipaka hayo huwezi amini tatizo limeisha saa hivi ni kusafi hata dalali hiyo haipo kabisa nimepona na kila siku bado natumia
 
Hilo tatizo dogo sana hakikisha kila siku unajipaka mafuta ya nazi pamoja na huo uume kabla hujalala au ule mda unavaa uende kwenye mahangaiko yako..
Binafsi mm ni miongoni mwa niliokuwa natoa pumba kabisa japo kila siku nabadilisha chupi/boxer ila lilinisumbua sana siku nakuja kujipaka hayo huwezi amini tatizo limeisha saa hivi ni kusafi hata dalali hiyo haipo kabisa nimepona na kila siku bado natumia
mkuu kasema ananyonyesha,,
 
Ok kumbe ni mwanamke ila hata yeye nayo yanasaidia hayana madhara ni nilidhani dume kwa maelezo yake
umejibu wrong,soma paragragh ya pili ya uzi uliotelewa alaf soma na majibu yako,,wewe umemjibu as if yeye ni mwanaume
 
According to Wa stendi
"kila siku unajipaka mafuta ya nazi pamoja na huo uume"
Ndio napaka mwanzoni nilikuwa nawashwa sana ila kwa sasa nishapona ila nikiona ni mkavu sana napaka haina shida kabisa kwanza unakuwa na mwenekano mzuri si unajua ukiwa mkavu sana unapauka na kizidi kuwa mweusi
 
Back
Top Bottom