0653351683
New Member
- Jul 13, 2021
- 4
- 2
Jamani msaidieni huku Elia analia huku.Habari zenu ,
wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma.
Kwa o level nilikuwa nna c tatu na nikafanya paper ya advance Kama PC (private candidate) na nikapata three ya 14 ndio nikajiunga na Diploma
Kwanza verification namba unayo.?? AVN namba award verification number inapatikana ..Nacte.go??? Unayotakiwa kutumia kuapply chuo?? Inatolewa kwa elfu 10 umeipata???Habari zenu ,
wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma.
Kwa o level nilikuwa nna c tatu na nikafanya paper ya advance Kama PC (private candidate) na nikapata three ya 14 ndio nikajiunga na Diploma
Upo on point...![emoji106]Tuma screenshot, unapokwama hapo tuone unaweza hide baadhi ya info
O'level ulireseat au ulisoma foundation course kwenda Diploma?
Sijawahi kureseat o level,so nilitumia chet cha advance kwenda diploma ambacho nilipata div3-14O'level ulireseat au ulisoma foundation course kwenda Diploma?