Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna option ya kufuta kuna ya kuedit na kuview basi
Sasa ku edit SI ndio kubadilisha mkuu au ww unafikir ku edit ni kufanya nini?Hamna option ya kufuta kuna ya kuedit na kuview basi
Yaan ukiview akibadiliki cheti je unatumua simu au computer nkuelekeze kitu hapoNimebadili browser na nimejaribu kichange format mpaka 93kb lakini bado inaniletea jibu hilo hilo
Nipe taarifa zako nikusaidieNimejaribu kote kwenye simu na computer majibu imeniletea Yale Yale ila saizi natumia simu
Mkuu kwema?. Na mimi nimekutafuta Pm.Nipe taarifa zako nikusaidie
Mkuu kwema nami nilikutana na changamoto hyoMkuu kwema?. Na mimi nimekutafuta Pm.
Natanguliza shukrani.
Ahsante sana mkuu.Mkuu kwema nami nilikutana na changamoto hyo
Cheti kilikuwa kwenye mfumo wa pdf kikawa kinagomaa ku upload ikabidi ni scan kwenye mfumo wa picture jpg kikakubali
Option ya pili clear cache kwenye browser unayotumia then upload upya
Option ya tatu badili browser
Umefanikiwa mkuuAhsante sana mkuu.
UmefanikiwaAhsante sana mkuu.
Hii inawahusu watu waliosomaa njeeMSAADA: Nashindwa ku Add vyetii ambavyoo vimeko Certified Naombeni maelekezo kdogo
Unatumia Kifaa gani..!?, Simu au KompyutaNimebadili browser na nimejaribu kichange format mpaka 93kb lakini bado inaniletea jibu hilo hilo