mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,312
- 944
Habari wataalamu, huwa nasumbuliwa sana na Acid tumboni hivyo kusababisha kujisikia hali ya tumbo kuwaka moto, mwaka jana mwanzoni kuna mtu alinishauri nitumie dawa fulani inaitwa Ranitidine Lakini nasikia hii dawa imezuiliwa. Nilikuwa naomba msaada mbadala wa hii dawa tafadhali