Acha mtisha bhana ni fungus tu asafishe vidonda na oral medi tuMkuu😂😂 nisamehe ila nimecheka ulivolitaja nanii jina lake kama lilivyo😂.
Ila mkuu sehemu sensitive hivo nadhani msaada wa kwanza na hakika kabisa ni hospitali.
Kabisa awahi hospital yaan.Mkuu[emoji23][emoji23] nisamehe ila nimecheka ulivolitaja nanii jina lake kama lilivyo[emoji23].
Ila mkuu sehemu sensitive hivo nadhani msaada wa kwanza na hakika kabisa ni hospitali.
Mmh asije akawa anatibu nje tu, better hospital ndiyo watajua kama apake dawa gani baada ya vipimo.Acha mtisha bhana ni fungus tu asafishe vidonda na oral medi tu
Ila ni vidonda bya kawaida ni fungus tu plus jotoMmh asije akawa anatibu nje tu, better hospital ndiyo watajua kama apake dawa gani baada ya vipimo. Usitumie dawa kwa kuhisi tatzo, nenda kaconfirm hospital.
Mkuu wewe umeviona? Shauri yenu tumiaeni dawa bila kuconfirm tatizo mkikatika naniliu hizo ndiyo mtajuaIla ni vidonda bya kawaida ni fungus tu plus joto
Naniliu niniMkuu wewe umeviona? Shauri yenu tumiaeni dawa bila kuconfirm tatizo mkikatika naniliu hizo ndiyo mtajua