Ahsante kwa kushiriki!Me. Cc ephen_ 😆😆
Hatari sana. Mdau hajasema jina la lodge, ningejisogeza na mimi nione alichopewa 🤣🤣Kabla ya kupanga chumba, hakikisha unafikia lodge hii
Penzi la mhudumu wa 'Lodge' Dodoma limenikosha mwenzenu
Tupo katika msimu wa baridi kali, jana nilikuwa Dodoma kikazi, nikamaliza mambo yangu muda ukiwa umesonga sana nikaona busara ni kulala ili asubuhi na mapema nianze safari kurejea mkoani kwetu. Nilitafuta Lodge nzuri mitaa ya Makole nikafanikiwa kupata, nikajifungia ndani kwa muda nikaoga...www.jamiiforums.com
Shukrani sana mkuu, nitazingatia hilo bila shakaVyumba Dodoma ni kama tu Miji ya Dar na Arusha.Be ya Chumba Self Contained Unaweza Kupata 60,000 nje ya Mji na 80,000 maeneo mazuri kiasi na 100-120 kwa maeneo ambayo ni standard.Ukitaka Kupata Chumba Kizuri ni vizuri uwe ndani ya Dodoma kwanza ili uwasiliane na Madalali
awe makini, madalali wa Makao Makuu hawana tofauti sana na wa daslam, mpaka apate chumba watakuwa wamemkamua pesa hatari asipokuwa mkali, halafu huwa wana tabia ya kuitana ama kubebana..Vyumba Dodoma ni kama tu Miji ya Dar na Arusha.Be ya Chumba Self Contained Unaweza Kupata 60,000 nje ya Mji na 80,000 maeneo mazuri kiasi na 100-120 kwa maeneo ambayo ni standard.Ukitaka Kupata Chumba Kizuri ni vizuri uwe ndani ya Dodoma kwanza ili uwasiliane na Madalali
Hii ndo ID yako mpya baada ya ile ya boss la dp world kupigwa ban?Kabla ya kupanga chumba, hakikisha unafikia lodge hii
Penzi la mhudumu wa 'Lodge' Dodoma limenikosha mwenzenu
Tupo katika msimu wa baridi kali, jana nilikuwa Dodoma kikazi, nikamaliza mambo yangu muda ukiwa umesonga sana nikaona busara ni kulala ili asubuhi na mapema nianze safari kurejea mkoani kwetu. Nilitafuta Lodge nzuri mitaa ya Makole nikafanikiwa kupata, nikajifungia ndani kwa muda nikaoga...www.jamiiforums.com
Vipi kama bado ajapata asemePoor Brain na Madame B toeni muongozo kwa kijana.
Ngoja Sasso aje, guess ata ku check umsaidie.Vipi kama bado ajapata aseme
Aje nikae nae kwenye apartment yanguPoor Brain na Madame B toeni muongozo kwa kijana.
Shangazi hii ime niuma haki🤣😂😂Aje nikae nae kwenye apartment yangu
Wewe bado bikra.Shangazi hii ime niuma haki🤣😂😂