MSAADA: Natafuta ' Glucosamine with HCL 1500mg and MSM 1500mg'

Puppy

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
2,995
Reaction score
2,513
Ndugu Zangu.

Zingatia kichwa hapo juu. Nina mgonjwa wa mguu kwa muda sasa na tumejaribu matibabu mengi sana bila nafuu.

Wiki kadhaa nyuma akapata mtu alie na vidonge vya dawa tajwa hapo juu. Kwa maelezo yake mwenyewe (mgonjwa) alihisi utofauti na matumaini. Hata sisi tunaomuuguza tuliona.

Sasa naitafuta hiyo dawa sana ' Glucosamine with HCL and MSM' ili atumie.

Kama kuna anaejua naipataje hapa Tanzania ntashukuru sana. Lakini pia hata kama ni kwa kuagiza nje ya nchi pia nikipewa mwangaza ntashukuru sana.

Natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Bado nina uhitaji ndugu zanguni
 
Bado nina uhitaji ndugu zanguni
pole sana mkuu. jaribu kwenda pharmacy kubwa kama J.D pale mlimani city au posta, Nakiete Mwenge, Manzese darajani kuna famasi moja kubwa hivi jina nimesahau, na nyingine ipo sinza kijiweni opposite delux hall. Nadhani hata kama hzo sehemu tajwa hawana, watakueleza wapi pa kuipata au hata kama kuagiza watakuelekeza what to do Pole, Mungu akuwezeshe mfanikiwe kupata hyo dawa.
 
Nashukuru mkuu ntaifanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…