ENTs (Ear Nose and Throat) kibao tu mkuu au ulimaanisha nini?Hakunaga specialist wa masikio nenda kamuone general MD atakusaidia
Labda wana access ya vifaaa tuENTs (Ear Nose and Throat) kibao tu mkuu au ulimaanisha nini?
ENTs ni watu walio specialize kwenye masikio,pua na koo na wapo Tanzania unaposema wana access ya vifaa tu unamaanisha nini?Labda wana access ya vifaaa tu
MKUU MBONA WATU TULIO KWISHATIBIWA NA HAO HAO NA TUKAPONA. USIPENDE KUWA KATISHA WAGONJWA TAMAA,HAIPENDEZI HATA KIDOGOwasanii hao hakuna masters specific miaka kadhaa kwa sikio tu ,
hao janja janja wewe usha tekwa tayari
HAO WANA DEAL NA KINYWA TU MKUUdentist ndio anaweza kukusaidia coz wanakomaa miaka yote wana deal na kichwa tu
Umeulizwa uko wapi hujajibu kitu ambacho ni ngumu kwa mtu kuweza kukusaidia jinsi utakavyo wewe.., ie kuelekezwa wanaopatikana wapi...!!!)))Ndugu wanajf nimekua nikisumbuliwa kwa Siku kadhaa na sikio ambalo limevimba , linatoa maji kama usaha yenye kunuka n likiambatana na maumivu makali naomba msaada anayejua walipo ma specialist wazuri na gharama ikiwezekana
Hahahah mi nilivoenda kupima ngozi wakasema nipime na aleji wakanitoboa toboa ngozi mkononi alafu wakanichora na mark pen ya bluu nikaambiwa nisubiri baadae matokeo yake sasa wamenipiga ban ya misosi mingi kwa miezi mitatu mfululizo alafu wakaniambia nirudi tena baada ya hio miezi kuisha aisee nilichoka.ekenywa bwana walinifanyia usaniii test ya aleji 30,000/= halafu unakatazwa kula aina kibao za menu,
mimi masharti yakawa magumu saizi nimepona bila dawa
sasa hawa jamaa sina imani nao tenaaaaaaa
safi ume mfafanulia vizuri sana.NATAMAMI NIKUPE ZAWADI YA KATONI YA MAJI YA KILIMAJARO YA 1.5Lts.Umeulizwa uko wapi hujajibu kitu ambacho ni ngumu kwa mtu kuweza kukusaidia jinsi utakavyo wewe.., ie kuelekezwa wanaopatikana wapi...!!!)))
Mfano mtu akisema wanapatikana hospitali utamlaumu kuwa hayuko serious..!!!??
Nenda hospitali yoyote kubwa iwe private au government ulizia unawezaje kuonana na specialist wa ENT(EAR.., NOSE AND THROAT).., hawa jamaa wanaspecialise kwa either miaka mitatu au minne kutegemea na chuo ama nchi aliyosomea baada ya kumaliza elimu yake ya MD(ie undergraduate for either 4 years like USA.., 5 years like Tanzania or 6 years like Russia)....!!!)))
Hao wanaokudanganya kuwa hakuna watu wa namna hiyo Tanzania ni either ubishi usio na tija au ni issue zile zile za Dentist au Nurse kupotosha watu against medical doctors because it's most likely due to the fact that all of those people their dream was to become doctors at some point of their lives but something went wrong somewhere wakajikuta wametokea walipo.., ingawa si wote...!!!)))
Kwa wenye uelewa watanielewa........!!!)))
Taja mkoa uliopo wenye info wakusaidie kirahisi...!!!)))
NB
Dentists wanadili na issues zinazohusiana na meno tu.., pia hata wakipata degree yao still hakuna nchi yoyote duniani wanayoruhusiwa kufanya masters ya ENT...,because it's not and never has it been their area of expertise and probably it will never be....!!!)))
Pamoja..., let's hope ameelewa...!!!)))safi ume mfafanulia vizuri sana.NATAMAMI NIKUPE ZAWADI YA KATONI YA MAJI YA KILIMAJARO YA 1.5Lts.
hahahaaa mkuu umenifanya nicheke kwenye kadamnasi !!Baba sikio LA kufa...............?
nenda kwa wataalamu wa masikio pua na koo wanapatikana hospitali zote za mikoaJamani vipi kwa sikio linalounguruma?....halitoi uchafu wala kuuma
hahahaaa mkuu umenifanya nicheke kwenye kadamnasi !!
hahahaaa mkuu umenifanya nicheke kwenye kadamnasi !!
Mkuu samahani sikujua kama mada ilianzia huko.SASA USHAURI WANGU NENDA HOSPITALI INAYO ITWA PUMA IPO SINGIDA NI KABLA YA KUFIKA SINGIDA MJINI TEREMKA PUMA KUNA JAMAA WA UJERUMANI PALE HUTAJUTAMasikio yangu yote yametoboka ngoma
pitia hiyo link hapo juu unote mambo muhimu kama tarehe,pesa na ushauri was members kisha ujenge hoja uone
Asantenenda kwa wataalamu wa masikio pua na koo wanapatikana hospitali zote za mikoa
pamoja kakaNZURI PESA asante kwa ushauri kaka nimeanza kuufanyia Kazi