Redpanther JF-Expert Member Joined Feb 23, 2019 Posts 2,823 Reaction score 3,816 Dec 18, 2019 #1 Habarini za jioni wakuu, binafsi niko poa kabisa. Ndugu zangu, naombeni msaada wa namna ya kupata mawasiliano ya wakala wa Kampuni ya Kikuu Kanda ya Ziwa hasa hasa mkoa wa Shinyanga. Nina mzigo wangu nilinunua ila huu mzigo naona kama umekuwa delivered ila mie niliyenunua sijapokea. Nataka kuwasiliana nao hawa mawakala ili nianze kufuatilia mzigo wangu. Natanguliza shukrani wakuu na muwe na jioni njema. Happy dude
Habarini za jioni wakuu, binafsi niko poa kabisa. Ndugu zangu, naombeni msaada wa namna ya kupata mawasiliano ya wakala wa Kampuni ya Kikuu Kanda ya Ziwa hasa hasa mkoa wa Shinyanga. Nina mzigo wangu nilinunua ila huu mzigo naona kama umekuwa delivered ila mie niliyenunua sijapokea. Nataka kuwasiliana nao hawa mawakala ili nianze kufuatilia mzigo wangu. Natanguliza shukrani wakuu na muwe na jioni njema. Happy dude
dingihimself JF-Expert Member Joined Jan 9, 2016 Posts 9,702 Reaction score 20,134 Dec 18, 2019 #3 Kikuu wamefika mpaka mkoani mimi nilikua najua dar tu@Redpanther,
Redpanther JF-Expert Member Joined Feb 23, 2019 Posts 2,823 Reaction score 3,816 Dec 18, 2019 Thread starter #4 Wapo mkuu Happy dude [emoji67][emoji538]
BradFord93 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2017 Posts 917 Reaction score 2,217 Dec 20, 2019 #5 Tatzo ni contact ndugu...uliweka namba ya mawasiliano...na kama uliweka...je ulweka ya kwako??...kama uliweka ya kwako je ipo hewani?? Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo ni contact ndugu...uliweka namba ya mawasiliano...na kama uliweka...je ulweka ya kwako??...kama uliweka ya kwako je ipo hewani?? Sent using Jamii Forums mobile app
Redpanther JF-Expert Member Joined Feb 23, 2019 Posts 2,823 Reaction score 3,816 Dec 20, 2019 Thread starter #6 BradFord93 said: Tatzo ni contact ndugu...uliweka namba ya mawasiliano...na kama uliweka...je ulweka ya kwako??...kama uliweka ya kwako je ipo hewani?? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ipo hewani ndugu yangu! Happy dude [emoji67][emoji538]
BradFord93 said: Tatzo ni contact ndugu...uliweka namba ya mawasiliano...na kama uliweka...je ulweka ya kwako??...kama uliweka ya kwako je ipo hewani?? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ipo hewani ndugu yangu! Happy dude [emoji67][emoji538]
clap Senior Member Joined Aug 3, 2013 Posts 188 Reaction score 97 Dec 21, 2019 #7 Redpanther ukitaka kupata mzigo wako waulize kikuu kupitia help desk kwenye app yako watakuelekeza ofis mahali zilipo pamoja na namba za sim Sent using Jamii Forums mobile app
Redpanther ukitaka kupata mzigo wako waulize kikuu kupitia help desk kwenye app yako watakuelekeza ofis mahali zilipo pamoja na namba za sim Sent using Jamii Forums mobile app