Msaada: Nataka kuanza uvuvi!!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Wakuu baada ya kukusanya mtaji kidogo nimeona vyema niwekeze katika uvuvi(Zowa Nyasa). Nafikiria kununua engine ya 15hp kwa kuanzia!!

Nimeshaulizia utaratibu wa vibali pia namna ya kupata nyavu, swali langu ni kuhusu ukubwa wa boat ambao utaendana na hii engine ya 15hp!!

Natanguliza shukrani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…