Habari zenu wadau,
Mimi najitokeza ninahitaji ushauri kutoka kwenu wa kibiashara. Nina nia ya kuanzisha biashara ya nguo sababu binafsi napenda mavazi na nina jicho la kuona vitu vizuri.
Katika utafiti wangu sehemu mbalimbali hapa Dsm nimegundua sehemu inayolipa vizuri ni kariakoo hapa nguo zinanunuliwa sana haswa za kina dada na nguo zinazonunuliwa haswa ni za kati sio classic sana wala sio midosho sana, pia nguo za ndani ni dili sana kkoo.
Pia nimegundua hapo hapo kariakoo vifaa vya simu navyo ni biashara nzuri sana na mbagala rangi tatu.
Changamoto yangu pamoja na kuwa na nia ya kufanya biashara hili eneo ni mtaji kwani flemu hapa ni ghali sana, na kwa level yangu siwezi kupangisha flemu hivyo nilitafuta ata uchochoro nikapata ila nao ni pesa ndefu wanaitaji laki 3 kwa mwezi unalipa miezi 12 na dalali laki 3...so ni kama milion 4 kupata kijieneo tu cha kuweka bidhaa.
Nia yangu hipo palepale lazima nifanye biashara hapo kkoo ata kama sio leo.
Nachoomba mnishauri ni kitu kimoja kwa sasa nina mtaji wa laki 6 ninataka kuukuza ufikie level za kufanya biashara kkoo. Mipango yangu ni kuanza na biashara ya kufata nguo Uganda au Kenya nimepata taarifa huko kuna nguo nzuri kwa bei nzuri nataka. kuja kuuza hapa bongo, tatizo langu ni wateja wa kuniweZesha biashara yangu kuzunguka kwa haraka nitawapataje sababu kwa mtaji wangu siwezi kuanzisha flemu na kumwaga biashara chini kkoo au karume ni risk sana wagambo wakikuotea utapoteza kila kitu.
Kwa hiyo nachotaka ni hilo tu, kuanzisha biashara ya mavazi eg nguo pochi viatu sasa nitapataje wateja kirahisi?? Nitawafikiaje hao wateja....?? nisaidieni ushauri wadau.
Waione pia. Matanzia kizebazeba masai dada Money Stunna wiseboy CYBERTEQ josefast Mr.Busta charminglady Dumelang Mathematician Zanzibar Spices na wadau wote hapa jf.
Mimi najitokeza ninahitaji ushauri kutoka kwenu wa kibiashara. Nina nia ya kuanzisha biashara ya nguo sababu binafsi napenda mavazi na nina jicho la kuona vitu vizuri.
Katika utafiti wangu sehemu mbalimbali hapa Dsm nimegundua sehemu inayolipa vizuri ni kariakoo hapa nguo zinanunuliwa sana haswa za kina dada na nguo zinazonunuliwa haswa ni za kati sio classic sana wala sio midosho sana, pia nguo za ndani ni dili sana kkoo.
Pia nimegundua hapo hapo kariakoo vifaa vya simu navyo ni biashara nzuri sana na mbagala rangi tatu.
Changamoto yangu pamoja na kuwa na nia ya kufanya biashara hili eneo ni mtaji kwani flemu hapa ni ghali sana, na kwa level yangu siwezi kupangisha flemu hivyo nilitafuta ata uchochoro nikapata ila nao ni pesa ndefu wanaitaji laki 3 kwa mwezi unalipa miezi 12 na dalali laki 3...so ni kama milion 4 kupata kijieneo tu cha kuweka bidhaa.
Nia yangu hipo palepale lazima nifanye biashara hapo kkoo ata kama sio leo.
Nachoomba mnishauri ni kitu kimoja kwa sasa nina mtaji wa laki 6 ninataka kuukuza ufikie level za kufanya biashara kkoo. Mipango yangu ni kuanza na biashara ya kufata nguo Uganda au Kenya nimepata taarifa huko kuna nguo nzuri kwa bei nzuri nataka. kuja kuuza hapa bongo, tatizo langu ni wateja wa kuniweZesha biashara yangu kuzunguka kwa haraka nitawapataje sababu kwa mtaji wangu siwezi kuanzisha flemu na kumwaga biashara chini kkoo au karume ni risk sana wagambo wakikuotea utapoteza kila kitu.
Kwa hiyo nachotaka ni hilo tu, kuanzisha biashara ya mavazi eg nguo pochi viatu sasa nitapataje wateja kirahisi?? Nitawafikiaje hao wateja....?? nisaidieni ushauri wadau.
Waione pia. Matanzia kizebazeba masai dada Money Stunna wiseboy CYBERTEQ josefast Mr.Busta charminglady Dumelang Mathematician Zanzibar Spices na wadau wote hapa jf.
Last edited by a moderator: