MSAADA: Nataka Kuanzisha Mradi wa Kufyatua Tofali

MSAADA: Nataka Kuanzisha Mradi wa Kufyatua Tofali

1954tanu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,038
Reaction score
487
Nataka nianze kufyatua tofari kwa biashara. Naomba msaada wa gharama za mashine.za umeme na manual. maeneo muhimu kwa mradi kama huo

Natanguliza shukurani zangu za dhati.
 
Nasubiria waje wajuzi na mimi nina wazo kama lako mtia mada
 
Mkuu inategemea na scale ya kiwanda unachotaka kuanzisha, kuna Mashine wanauza wachina pale ubungo sh 12m hii ni mashine pamoja na mixer yenye uwezo wa kutoa Tofari nne kwa Mara moja. Pia kuna jamaa wanauza Mashine Tabata dampo mixer sh 3 hadi 4m pia Mashine kati ya sh 1.5 hadi 2.5m.
 
kaka inadepend ni tofali gani.kama interlocking then kuna mtu alinitaarifu kua auto inauzwa sh. Laki 7 huko Zanzibar ila Dar ni 1.5mil
 
Mkuu inategemea na scale ya kiwanda unachotaka kuanzisha, kuna Mashine wanauza wachina pale ubungo sh 12m hii ni mashine pamoja na mixer yenye uwezo wa kutoa Tofari nne kwa Mara moja. Pia kuna jamaa wanauza Mashine Tabata dampo mixer sh 3 hadi 4m pia Mashine kati ya sh 1.5 hadi 2.5m.
Ubarikiwe,
Vipi suala la uimara wa hizo za kichina na hizo za Tabata Dampo
 
Nataka nianze kufyatua tofari kwa biashara. Naomba msaada wa gharama za mashine.za umeme na manual. maeneo muhimu kwa mradi kama huo

Natanguliza shukurani zangu za dhati.

Nauza mashine pamoja na injini yake ya diesel,inaweza pia kutumia umeme.0713510040
 
Obama wa Tandale,hao jamaa wapo wapi?maana hata kwenye google contacts zao hazipatikani.
Na Wazoefu mtuambie kati ya hizo za Wachina na za Tabata Dampo zipi imara
wewe mchelemchele wa zenji ,hawa jamaa wapo ubungo mellenium parking nea shekilango junction
 
Fanya biashara hii katika maeneo ambayo kuja kasi ya ujenzi,unaweza kufanikiwa sana
 
Back
Top Bottom