Msaada: Nataka kufahamu Kiingereza

Martine Tibe

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2019
Posts
221
Reaction score
156
Nina miaka 27. Ninakipenda Kiswahili kwa maana ni lugha mama ya taifa langu ukiacha kabila langu la Kizinza. Natamani kufahamu lugha ya Kiingereza kwa kuongea na kuandika vizuri sana. Tafadhali kama kuna mtu anafahamu namna nitakavyoweza kusoma online au kwa vyovyote vile aniambie.
 
Njoo PM tuongee jinsi nitakavyokufundisha online
 
Kamsearch Google huko huwezi kumkosa mtu maarufu huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…