Msaada nataka kufungua day care je nianzie wapi?

Msaada nataka kufungua day care je nianzie wapi?

Lavan Island

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
2,377
Reaction score
2,048
Habari wana Jf nimeamua kufungua daycare baada ya kuhitimu diploma ya childhood education nimeamua nijiajiri,hivyo ninaomba mwenye uelewa wa taratibu za kufuata anielekeze tafadhali.Ushauri
 
Habari wana Jf nimeamua kufungua daycare baada ya kuhitimu diploma ya childhood education nimeamua nijiajiri,hivyo ninaomba mwenye uelewa wa taratibu za kufuata anielekeze tafadhali.Ushauri
Sijui kwanini hua nashindwa kujizuwia ninapoona vijana wanashindwa kujielewa pamoja na kusoma lakini hamjaelimika.
Kimsingi ulipaswa useme/utaje maandalizi yako. Ili upate kushauriwa vizuri, ulipaswa useme umejiandaaje na umekwama wapi.
Wazee tunasemaga kwamba tamaa bila mipango hauwezi toboa.
 
Kwajinsi ulivyo andika heading, kwa muelewa anaweza dhania kwamba umefanya kwa sehem flani na umekwama kwa eneo lingine. Na kuanzia hapo ulipo kwama ndipo unapo omba usaidiwe kwa ushauri
 
mkuu maisha tulianzia kulala kwenye sakafu

anza na kama tuition kwanza ukishapata uzoefu jina lako likatamba midomoni,mwa watu ndio ufungue hiyo day care,,, usifikiri ni rahisi utajikuta unazika pesa na namna ya kuzifufua ndo hivoooo,,


nakushauri tu vuta wateja kwanza kwa taaluma yako hiyo yaani kipindi cha mwanzo fanya kama unajitolea
 
Sijui kwanini hua nashindwa kujizuwia ninapoona vijana wanashindwa kujielewa pamoja na kusoma lakini hamjaelimika.
Kimsingi ulipaswa useme/utaje maandalizi yako. Ili upate kushauriwa vizuri, ulipaswa useme umejiandaaje na umekwama wapi.
Wazee tunasemaga kwamba tamaa bila mipango hauwezi toboa.
Punguza ujuaji mbweha wewe kwan kipi hujaelewa hapo? Au kichwa yako ngumu


Anyway mimi ingekuwa ndo wewe
Ningeanza

Labda andaa kiwanja walau hk 2 mpaka 4
Andaa moja mbili tatu
Kisha nenda ofisi flan wanakuja kukagua kisha watakupa mwongozo ABC

Unakwama wapi
 
Punguza ujuaji mbweha wewe kwan kipi hujaelewa hapo? Au kichwa yako ngumu


Anyway mimi ingekuwa ndo wewe
Ningeanza

Labda andaa kiwanja walau hk 2 mpaka 4
Andaa moja mbili tatu
Kisha nenda ofisi flan wanakuja kukagua kisha watakupa mwongozo ABC

Unakwama wapi
Samaha dada naomba nikupuuze tafadhali, yawezekana ushavurugwa huko na lile jambo lenu mtambuka...😜
 
Back
Top Bottom