Msaada:Nataka kufungua Duka la simu

Msaada:Nataka kufungua Duka la simu

SOCIETY'S FOCUS

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
498
Reaction score
685
Mimi ni kijana mjasiriamali, ni fundi simu pia nauza vifaa vya simu kama mic, housing, ac, speaker, screen n.k
Nimepata mtaji wa millioni mbili nawaza kufungua duka la kuuza simu, bidhaa nichukulie Nairobi Kenya, nifanyeje?
mimi nipo Singida.
 
Mimi ni kijana mjasiriamali, ni fundi simu pia na uza spair ndogo ndogo za simu kama mic, housing, ac, speaker, screen n.k nimepata mtaji wa millioni mbili. nawaza kufungua duka la kuuza simu, bidhaa nichukulie nairobi kenya, nifanyeje? mimi nipo SINGIDA

Kuna Duka linaitwa City phone lipo Kariakoo barabara ya uhuru na kongo mbele,bidhaa zao zina ubora na wana mchanganyiko wa bidhaa. Za Nairobi walikuwa sawa lakin sasa hivi ni bora Dar es Salaam.
 
Nairobi ni wakora hatari nenda Dar wachana na hao wakei watakuliza ushangae
 
kariakoo kuna cheap parts etc kuliko data china kwenyewe,una haja ya kwenda Nairobi
 
kariakoo kuna cheap parts etc kuliko data china kwenyewe,una haja ya kwenda Nairobi
Sasa mkuu ndo umeandika nini hiki? Nguruwe za Mulugo bwana! Umeanza vizuri kwamba K'Koo kuko vizuri bei ni rahisi sana lakini unakuja kuhitimisha kwa kumsisitiza aende Nairobi!! Kazi kweli kweli!
 
ndugu yangu hivyo vifaa nunua hapa hapa bongo kule nairobi watakuliza sana
bora ulizwe na ndugu zako wabongo tu halafu dar kariakoo kuna amaduka yanauza vitu cheap vya simu
hivyo njoo ufanye window shoping kwanza kabla ya kununua ili ujue wapi utapata vizuri
 
Eti Cheap kuliko China
kwani Wafanya Biashara Kariakoo Wanatoa Wapi Hizo Bidhaa
 
Jifunze kiswahili fasaha. Una au Huna? Una haja ya kwenda Nairobi maana yake anatakiwa aende Nairobi. Huna, Hatakiwi.
 
Hata kama yapo, inawezekana ikawa zaidi ya China? Tuache uwongo na unafiki. Kuna kiwanda cha uzalishaji simu kariakoo? Toa ushauri wenye mashiko acha blaa blaa.
 
Sasa mkuu ndo umeandika nini hiki? Nguruwe za Mulugo bwana! Umeanza vizuri kwamba K'Koo kuko vizuri bei ni rahisi sana lakini unakuja kuhitimisha kwa kumsisitiza aende Nairobi!! Kazi kweli kweli!
Ukija huku mikoa ya Kusini kuna baadhi ya makabila hawana "H" na "M". Badala ya kuandika "Mtwara", itaandikwa 'Ntwara" n.k. lakini maana inaeleweka kwao! Nitafurahi sana ukiniambia wewe uliwahi/kushirki kutunga kamusi ya kiwahili sanifu; vinginevyo hayo ni makosa ambayo kwa wengine hayazuiliki.
 
Jifunze kiswahili fasaha. Una au Huna? Una haja ya kwenda Nairobi maana yake anatakiwa aende Nairobi. Huna, Hatakiwi.


Nawewe ujifunze Ku quote hapo unamwambia nani? hii sio Facebook...
 
Hata kama yapo, inawezekana ikawa zaidi ya China? Tuache uwongo na unafiki. Kuna kiwanda cha uzalishaji simu kariakoo? Toa ushauri wenye mashiko acha blaa blaa.

Charge zinazouzwa mikoani 5000 Kariakoo ni 1500 to 2500.mfano leo Asubuhi Betri ya Samsung S3 posta mpya na mlimani city ni 40,000 kariakoo nimenunua 20,000. Maduka yapo karibu na round about ya Uhuru upande wa kushoto kama unaelekea jengo la simba sport club.
hope meseji imefika, hapa sio sehemu ya kurekebishana Kiswahili,nimesoma wakati nyerere akiwa bado Rais,kuna mdau anainiita mimi nguruwe wa Mlugo &^%%$$ zake
 
Hata kama yapo, inawezekana ikawa zaidi ya China? Tuache uwongo na unafiki. Kuna kiwanda cha uzalishaji simu kariakoo? Toa ushauri wenye mashiko acha blaa blaa.
Boss Una Hakika mimi ni mwongo na mnafiki? unajijua vizuri?
 
Sasa mkuu ndo umeandika nini hiki? Nguruwe za Mulugo bwana! Umeanza vizuri kwamba K'Koo kuko vizuri bei ni rahisi sana lakini unakuja kuhitimisha kwa kumsisitiza aende Nairobi!! Kazi kweli kweli!

Nguruwe za Mulugo????? WEWE NDO Nguruwe za Mulugo
 
Charge zinazouzwa mikoani 5000 Kariakoo ni 1500 to 2500.mfano leo Asubuhi Betri ya Samsung S3 posta mpya na mlimani city ni 40,000 kariakoo nimenunua 20,000. Maduka yapo karibu na round about ya Uhuru upande wa kushoto kama unaelekea jengo la simba sport club.
hope meseji imefika, hapa sio sehemu ya kurekebishana Kiswahili,nimesoma wakati nyerere akiwa bado Rais,kuna mdau anainiita mimi nguruwe wa Mlugo &^%%$$ zake

Jina lako tu linaonesha ni kweli ulisoma enzi za rais Mwl.Nyerere,......""Chipukizi...jeuri ya Chama!!!."".Siku hizi kimekua chama feki :smash:
 
Sasa mkuu ndo umeandika nini hiki? Nguruwe za Mulugo bwana! Umeanza vizuri kwamba K'Koo kuko vizuri bei ni rahisi sana lakini unakuja kuhitimisha kwa kumsisitiza aende Nairobi!! Kazi kweli kweli!
nimecheka sana nilikuwa sijaona vizuri kumbe bado anasema aende nairobi ambako ndo hakufai
 
Charge zinazouzwa mikoani 5000 Kariakoo ni 1500 to 2500.mfano leo Asubuhi Betri ya Samsung S3 posta mpya na mlimani city ni 40,000 kariakoo nimenunua 20,000. Maduka yapo karibu na round about ya Uhuru upande wa kushoto kama unaelekea jengo la simba sport club.
hope meseji imefika, hapa sio sehemu ya kurekebishana Kiswahili,nimesoma wakati nyerere akiwa bado Rais,kuna mdau anainiita mimi nguruwe wa Mlugo &^%%$$ zake
mkuu naomba hilo jina la duka nami nipite one time plz
 
Jina lako tu linaonesha ni kweli ulisoma enzi za rais Mwl.Nyerere,......""Chipukizi...jeuri ya Chama!!!."".Siku hizi kimekua chama feki :smash:

hili sio jukwaa la siasa jiheshimu hueshimiwe
 
Back
Top Bottom