diamond d JF-Expert Member Joined Dec 20, 2018 Posts 812 Reaction score 2,048 Aug 10, 2021 #1 Kwa wazoefu naomba kujua faida na changamoto za kufungua Yard ya mbao jijini Dar es Salaam au Arusha na Mwanza. Ushauri wako ni Muhimu sana ndugu.
Kwa wazoefu naomba kujua faida na changamoto za kufungua Yard ya mbao jijini Dar es Salaam au Arusha na Mwanza. Ushauri wako ni Muhimu sana ndugu.
M malembeka18 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 3,266 Reaction score 3,698 Aug 10, 2021 #2 Nasubiria
Android JF-Expert Member Joined Jul 24, 2012 Posts 970 Reaction score 1,209 Aug 11, 2021 #3 Kwanini usifungue ya simenti mkuu moani yangu tu
Einsten JF-Expert Member Joined Mar 15, 2013 Posts 921 Reaction score 795 Aug 12, 2021 #4 Android said: Kwanini usifungue ya simenti mkuu moani yangu tu Click to expand... yawezekana ana ndugu yake makete au mufind so atakuwa anachukua kwa urahisi na ukumbuke makete au igoma mabanz huwa hayana sana soko so wengne wsnachukuaga mpaka bure.
Android said: Kwanini usifungue ya simenti mkuu moani yangu tu Click to expand... yawezekana ana ndugu yake makete au mufind so atakuwa anachukua kwa urahisi na ukumbuke makete au igoma mabanz huwa hayana sana soko so wengne wsnachukuaga mpaka bure.