Msaada nataka kufungua yard ya mbao Dar es Salaam

diamond d

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2018
Posts
812
Reaction score
2,048
Kwa wazoefu naomba kujua faida na changamoto za kufungua Yard ya mbao jijini Dar es Salaam au Arusha na Mwanza.

Ushauri wako ni Muhimu sana ndugu.
 
Reactions: TNK
Kwanini usifungue ya simenti mkuu moani yangu tu
 
Kwanini usifungue ya simenti mkuu moani yangu tu
yawezekana ana ndugu yake makete au mufind so atakuwa anachukua kwa urahisi na ukumbuke makete au igoma mabanz huwa hayana sana soko so wengne wsnachukuaga mpaka bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…