Msaada: Nataka kuishitaki nyumba ya ibada iliyo jirani na nyumba yangu

Uko sahihi, una haki ya kulalamika. Lakini utajizulia vita itskayokunyima usingizi na kukupa kero kubwa zaidi kuliko uliyonayo sasa. Nakushauri uwe mpole tu, vinginevyo hawa waswalaji watakusumbua sana. Unaweza pia kuhama hapo! Vita unayowaza kuianzisha itakutesa! Utatesa familia yako pamoja na kuwa una haki!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani Mimi nilishaacha chumba sababu hiyo..yani badala kupeana matumaini watu kuogopeshana the same case ilishanipata mzee Hall pole sana Mzee cha muhimu ni kuhama saiv Mimi hua naconsider hayo kabla sijahamia sehemu na ndugu zangu waislam hili suala tuliangalie na wenye makanisa pia walitazame kuabudu kwako kusimbuguzi MTU mwingine..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana haki ya kulalamikia humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukhanisi huo. Amkeni mkaswali. Unataka kumshtaki kwa faida yako mwenyeo. Kamshtaki uwone Kitakachotokea. Niko Tayari kufa na ww kwa lolote lile na liwe. Unafikiri Allah atakutizama t

Sent using Jamii Forums mobile app
Kunguni mkubwa wewe...
Huo ujasili wa nyuma ta keyboard ndio unakupa kichwa..
Kama huokopi kufa taja sehemu uliopo kama ni dar tukutane then uje kuleta mrejesho kama huokopi kufa kweli au ni ujinga wa nyuma ya keyboard tu...

Mende mkubwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waswalaji hatuwajui...tunajua wanaosali...muwe na heshima mnapo point watu wafanyao ibada hata kama sio katika dini yenu...eti waswalaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thread nyingine za kipuuzi kabisa...sasa ndo mmekuja kushtaki JF??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi haya matusi pia mnafundishwa huko kwenue hiyo dini yenu?
Kwani ulilazimishwa kukaa hapo ama tu yaani watu waache kuamshwa kwenda kufanya ibada kisa wewe eti unaogopa kuambiwa kua utakufa
Acha usenge wako,

Ukhanisi huo. Amkeni mkaswali. Unataka kumshtaki kwa faida yako mwenyeo. Kamshtaki uwone Kitakachotokea. Niko Tayari kufa na ww kwa lolote lile na liwe. Unafikiri Allah atakutizama t

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je umesumbuka namambo yajayo ....mwambie yesu sumbuki lakoooooo.

Unahofu na kifo ? Mwambie yesu sumbuko lako !!.
 
Usikae kujitetea eti una imani...labda imani ya kishetani...wahi kashtaki usijicheleweshe

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha dini na ugaidi, kwa majibu yako naona huu mdororo wa uchumi haujakuacha salama hasira zako unanimalizia mimi wengine wote wamriacha mada unakuja wewe utafikiri umetukanwa in person, ama nilifikiri utakuja na hoja ya kuelimisha ulazima na umuhimu awa mameno yale kwenye adhana ya sala ya alfajiri we unakuja na matusi. mtu kama wewe hata nikikuuliza 5 pillars naamini huzijui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno mengi ya nini???...hakuna sehemu niliyokutukana...nimekuita mpuuzi kwa upuuzi uliotuma...acha msururu wa maneno wahi kaifungilie file nyumba ya ibada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na assume hiyo ni Dar es salaam ,kukumbusha tu asilimia kubwa ya wakazi wa awali wa jiji hili ni waislam ni taratibu zao za ibada kwa mujibu wa dini yao kuamshana na kukumbushana muda wa sala ya alfajr na utakuwa umewakuta na taratibu hizi vumilia tu au rudi kwenu ulipotoka ukagonge kengele!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nshakujua kanishitaki uone ntakusomea albadiri kila ukifika huo Muda wewe ndo unaanza kusema na kuamsha watu
Usinichezee kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…