URBAN MONKEY
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 720
- 1,329
Wengine wanakuja kukejeli dini za wenzao..nakumbuka kabla ya wiki mbili kuna mmoja alileta mada kama hii..halafu kwa kuchomeka uongo ndio wenyewe...msikiti gani wanaoadhini saa 8 za usiku..yaani mijitu mingine hovyo sanaAcha u.j.In.Ga sawaa!!
Kwani wameanza leo !!
Si uhame wewe unaeona ni kero au
kisa mgeni humu umependa tu kuanzisha uzi !!
si ndio hapo sijui huwa wanafikirije!!Wengine wanakuja kukejeli dini za wenzao..nakumbuka kabla ya wiki mbili kuna mmoja alileta mada kama hii..halafu kwa kuchomeka uongo ndio wenyewe...msikiti gani wanaoadhini saa 8 za usiku..yaani mijitu mingine hovyo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kaka, nakumbuka mwaka 2005 kuna mtu alijitolea kiwanja chake ili ijengwe nyumba ya ibada ni kiwanja cha pili tu kutoka nyumbani kwangu, na cha ajabu jengo hilo la ibada lilijengwa bila hata kufuata taratibu za kubadirisha matumizi ya kiwanja, Basi usiku wanapoamshana kuabudu spika utadhani zimefungwa chumbani kwangu nashukuru Mungu nilikuwa na kiwanja eneo lingine nimehamia huko pale nilipangisha na baadaye nikafanikiwa kumuuzia mtu ambaye hizo sauti za Spika zinamuhusu. Sema binaadam tulio wengi tuna hofu ya Mungu majirani wote tuliogopa kwenda Manispaa kuomba lile jengo livunjwe kwasababu limejengwa katika kiwanja cha makazi na siyo eneo la nyumba za IbadaSina tafsiri sahihi ya hili neno "uhuru wa kuabudu" ila naona kama watu wanaitafsiri tofauti wanapitiliza.
K7na nyumba ya ibada hapa jirani huwa wanaamsha watu kwa ajili ya kuswali lakini maneno anayotumia ni ya kuogopesha mpaka kuleta tahruki katika familia yangu.
Naweza kumnukuu "Amkeni mkaswali hizo nyumba zenu hapa naona kama ni makaburi na hicho kitanda ulicholalia ni kama jeneza hilo shuka ulilojifunika ndo sanda amkaaaaa amkaaa".
Haya maneno yakikuamsha usingizini huwezi kulala tena, hii inapelekea familia nzima kushindwa kulala.
Nafikiria kupata msaada wa kisheria.
Sent using Jamii Forums mobile app