Msaada: Nataka kujua thaman na ubora wa pikipiki aina ya Boxer

Msaada: Nataka kujua thaman na ubora wa pikipiki aina ya Boxer

Chomo

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2017
Posts
250
Reaction score
662
Wakuu hivi karibuni natarajia kununua chombo cha moto (piki piki)

Mapendeleo yng ni kuwa na piki piki aina ya boxer,lkn naziona zipo tofaut tofaut,zingne nasikia zinaitwa mdomo wa mamba..

Kwa anaejua tafadhari;
  • Ipi ni Boxer imara zaid kuliko nyingne?
  • Bei yake imesimama ngapi huko madukani?
  • Nasikia zinauzwa kwa mawakala wa Mo, je ni wakala yupi nitapata kwa urahisi na bei ya unafuu?

Ni hayo tu.
 
Nakushauli ununue Boxer modeli ya zaman kama umejiwekea lengo

NB:- Nakushauri pikpik Bora za kihind sio Boxer labda Nkushauri ununue TVS 150 au 125cc
 
n
Nakushauli ununue Boxer modeli ya zaman kama umejiwekea lengo

NB:- Nakushauri pikpik Bora za kihind sio Boxer labda Nkushauri ununue TVS 150 au 125cc
nashukuru kwa ushauri mkuu,lkn ni kwann boxer thaman yake ipo juu zaid ya tvs..ubora wake upo ktk kitu gani?
 
Boxer ilitangulia sokon , na nazn ndio kat ya pikpk za mwanzo za kihind zilizo uzwa bei ya chini(2m had 3m) huku Tz na kuanza kumilikiw na vijan wengi wenye kipato cha kati so watu wengi wamezpenda sana kwakuw sokon alikuw amelishk .

NB:- mimi nimeendesha pikpk nying hasa zinazouzwa kat ya million 2 hadi 3 sasa na Milik TVs 150cc HLX Kiukweli sijawah juta huu mwak 3 ,
n

nashukuru kwa ushauri mkuu,lkn ni kwann boxer thaman yake ipo juu zaid ya tvs..ubora wake upo ktk kitu gani?
 
Boxer ilitangulia sokon , na nazn ndio kat ya pikpk za mwanzo za kihind zilizo uzwa bei ya chini(2m had 3m) huku Tz na kuanza kumilikiw na vijan wengi wenye kipato cha kati so watu wengi wamezpenda sana kwakuw sokon alikuw amelishk .

NB:- mimi nimeendesha pikpk nying hasa zinazouzwa kat ya million 2 hadi 3 sasa na Milik TVs 150cc HLX Kiukweli sijawah juta huu mwak 3 ,
asante sana mkuu,imesimama bei gani sasa hiv hii na kwa uzoefu wako wapi naipata
 
Mi natumia TVS 150 kwa matumizi binafsi,

Nimebaini machache kwa kipindi cha miaka miwili na miezi saba.

1. Ni pikipiki imara, nimeshawahi kupata ajali lakini pikipiki haikualibika sana.

2. Imetulia sana barabarani, unaendesha ukiwa comfortable.

3. Spare Parts zake zinagharama kubwa.
 
Kwan upo mkoa gan , zinapatk 150c ni 2.5-6M currently model mpya na 125cc 2.3M

Pia tafut vijiwe vya mafundi uulze ubora

Pia unahtaj kwa matumiz yapi ?
asante sana mkuu,imesimama bei gani sasa hiv hii na kwa uzoefu wako wapi naipata
 
nipo dar,matumiz ni biashara..
Kwan upo mkoa gan , zinapatk 150c ni 2.5-6M currently model mpya na 125cc 2.3M

Pia tafut vijiwe vya mafundi uulze ubora

Pia unahtaj kwa matumiz yapi ?
 
nipo dar,matumiz ni biashara..
Kwan upo mkoa gan , zinapatk 150c ni 2.5-6M currently model mpya na 125cc 2.3M

Pia tafut vijiwe vya mafundi uulze ubora

Pia unahtaj kwa matumiz yapi ?
 
Kweny barabara za vumbi rough road au kubebea mizigo haifai inachakaa haraka Sana na spea zake n gharama ila Kama upo town na n kwaajil ya mizunguko yak ya kawaida haina kabaya
 
Kwan upo mkoa gan , zinapatk 150c ni 2.5-6M currently model mpya na 125cc 2.3M

Pia tafut vijiwe vya mafundi uulze ubora

Pia unahtaj kwa matumiz yapi ?
Mkuu unamaanisha 2.5M-2.6M Au 2.5M-6M?
 
Wakuu hivi karibuni natarajia kununua chombo cha moto (piki piki)

Mapendeleo yng ni kuwa na piki piki aina ya boxer,lkn naziona zipo tofaut tofaut,zingne nasikia zinaitwa mdomo wa mamba..

Kwa anaejua tafadhari;
  • Ipi ni Boxer imara zaid kuliko nyingne?
  • Bei yake imesimama ngapi huko madukani?
  • Nasikia zinauzwa kwa mawakala wa Mo, je ni wakala yupi nitapata kwa urahisi na bei ya unafuu?

Ni hayo tu.
Natamani pia kujua na mpango wa kununua boxer used ya 1.5 bm 150 ila nilikuwa naomba kujua changamoto zake
 
Mwaka wa pili sijagusa ingine
1623790971834.jpg
 
Ngekupa ushauri ununue Hon Lg Seven, ni chombo kizuri na imara. Cc 200. Ina spring ya kati na haitaki purukushani za mizigo so ni wewe tu na haratati zako. Bei imechangamka kidogo. Ila hauto juta
IMG_0704.jpg
 
Back
Top Bottom