nashukuru kwa ushauri mkuu,lkn ni kwann boxer thaman yake ipo juu zaid ya tvs..ubora wake upo ktk kitu gani?Nakushauli ununue Boxer modeli ya zaman kama umejiwekea lengo
NB:- Nakushauri pikpik Bora za kihind sio Boxer labda Nkushauri ununue TVS 150 au 125cc
n
nashukuru kwa ushauri mkuu,lkn ni kwann boxer thaman yake ipo juu zaid ya tvs..ubora wake upo ktk kitu gani?
asante sana mkuu,imesimama bei gani sasa hiv hii na kwa uzoefu wako wapi naipataBoxer ilitangulia sokon , na nazn ndio kat ya pikpk za mwanzo za kihind zilizo uzwa bei ya chini(2m had 3m) huku Tz na kuanza kumilikiw na vijan wengi wenye kipato cha kati so watu wengi wamezpenda sana kwakuw sokon alikuw amelishk .
NB:- mimi nimeendesha pikpk nying hasa zinazouzwa kat ya million 2 hadi 3 sasa na Milik TVs 150cc HLX Kiukweli sijawah juta huu mwak 3 ,
asante sana mkuu,imesimama bei gani sasa hiv hii na kwa uzoefu wako wapi naipata
nipo dar,matumiz ni biashara..
Mkuu unamaanisha 2.5M-2.6M Au 2.5M-6M?Kwan upo mkoa gan , zinapatk 150c ni 2.5-6M currently model mpya na 125cc 2.3M
Pia tafut vijiwe vya mafundi uulze ubora
Pia unahtaj kwa matumiz yapi ?
Natamani pia kujua na mpango wa kununua boxer used ya 1.5 bm 150 ila nilikuwa naomba kujua changamoto zakeWakuu hivi karibuni natarajia kununua chombo cha moto (piki piki)
Mapendeleo yng ni kuwa na piki piki aina ya boxer,lkn naziona zipo tofaut tofaut,zingne nasikia zinaitwa mdomo wa mamba..
Kwa anaejua tafadhari;
- Ipi ni Boxer imara zaid kuliko nyingne?
- Bei yake imesimama ngapi huko madukani?
- Nasikia zinauzwa kwa mawakala wa Mo, je ni wakala yupi nitapata kwa urahisi na bei ya unafuu?
Ni hayo tu.
Karibu ninayo iliyo nyooka kabisaNatamani pia kujua na mpango wa kununua boxer used ya 1.5 bm 150 ila nilikuwa naomba kujua changamoto zake