Msaada nataka kumbadilishia mazoea

Msaada nataka kumbadilishia mazoea

Imalamawazo

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2021
Posts
1,343
Reaction score
3,269
Ma legends,

Nimepata changamoto ya kusafiri na huyu wife material!

Changamoto ninayopitia ni kuwa kila tukianza safari ya utalii wa ndani, huwa tunaanza kwa pamoja, kanda ya kaskazini. Tunapotoka kanda ya kaskazini mimi huwa niweke pozi kanda ya ziwa. Hapo nitakaa muda kadhaa nikirukaruka kwenye yale mamiamba.

Sasa wakati naendelea kubarizi hapo kanda ya ziwa, mwenzangu hukimbia harakaharaka kwenda kanda ya kati. Nikitaka kumfuata huko, hunisisitiza niendelee kubaki hapo hapo kanda ya ziwa lakini yeye anakuwa bize huko kanda ya kati. Nimejaribu kutumia mbinu za kuzunguka nyanda za juu kusini ili niungane naye kanda ya kati lakini huwa naambulia kurudishwa kanda ya ziwa.

Akikaribia mwisho wa safari anakuita harakaharaka uungane naye kanda ya kati. Kwa hiyo natoka mbio ili nimuwahi hapo kanda ya kati. Sasa hii ratiba inaninyima uhuru wa mimi kuamua nimpitishe wapi ili afurahii utalii wa ndani. Kwa hiyo ma legends, naomba mbinu za nimbadilishia hiyo ratiba yake ya safari.
 
Interesting...nimeelewa yaani manz unamuanzia Kanda ya kaskazini manaake romance Nini ila ako anapenda umchezee matiti yaani mamiamba Kanda ya ziwa af Kisha ukienda Kanda ya Kati ndo una muingilia au sio sema Kuna code nachanganya ila na uhakika Kuna kulana jicho ndan mwa stori yako
 
Interesting...nimeelewa yaani manz unamuanzia Kanda ya kaskazini manaake romance Nini ila ako anapenda umchezee matiti yaani mamiamba Kanda ya ziwa af Kisha ukienda Kanda ya Kati ndo una muingilia au sio sema Kuna code nachanganya ila na uhakika Kuna kulana jicho ndan mwa stori yako
Umeanza vizuri lakini hapo kwenye kulana jicho tu umeenda mbali. Kulana jicho hakupo
 
Kazoea kutalii kanda ya kati mwenyewe,kutalii kwake kanda ya kati (peke yake)kunampa furaha zaidi kuliko kutalii pamoja nawe...ni either mazoea/uraibu au wewe huwezi kumpa raha aipatayo akitalii peke yake.

Jitathimini kwanza,mchunguze na umeuelewe na mwishoni ongea nae ujue raha anayoipata huko kanda ya kati
...kama anayoyapata ni zaidi ya kile unachompa mkitalii pamoja,kubaliana nae,na ujitahidi kumpa kile akipatacho huko.
 
Jamani sio lazima kila siku mizani ibalance, kuna siku unafanya kwa ajili yake na kuna siku anatakiwa kufanya kwa ajili yako, na siku zingine mnaenda sambamba.

Sisi hupanga kabisa, kwamba bwana ee mimi leo nakutumia na hakuna kitu utafanya!!!

Maisha hayahitaji ubinafsi.
 
Kazoea kutalii kanda ya kati mwenyewe,kutalii kwake kanda ya kati (peke yake)kunampa furaha zaidi kuliko kutalii pamoja nawe...ni either mazoea/uraibu au wewe huwezi kumpa raha aipatayo akitalii peke yake.

Jitathimini kwanza,mchunguze na umeuelewe na mwishoni ongea nae ujue raha anayoipata huko kanda ya kati
...kama anayoyapata ni zaidi ya kile unachompa mkitalii pamoja,kubaliana nae,na ujitahidi kumpa kile akipatacho huko.
Kwa vile siyo mara ndo naanza kutalii naye hiyo ya kutompa raha inapa asilimia ndogo ila nakazia hapo kwenye mazoea au uraibu wa kujipa raha mwenyewe
 
Jamani sio lazima kila siku mizani ibalance, kuna siku unafanya kwa ajili yake na kuna siku anatakiwa kufanya kwa ajili yako, na siku zingine mnaenda sambamba.

Sisi hupanga kabisa, kwamba bwana ee mimi leo nakutumia na hakuna kitu utafanya!!!

Maisha hayahitaji ubinafsi.
Asante kwa uzoefu! Sijui atajisikiaje nikimwambia aache mimi ndo nimchezee huku kanda ya kati
 
Back
Top Bottom