Msaada nataka kununua hii gari "suzuki grand vitara ya 2004 cc 1990"

Msaada nataka kununua hii gari "suzuki grand vitara ya 2004 cc 1990"

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
7,683
Reaction score
15,128
Habari zenu wakuu samahani kwa kuwasumbua mimi mgeni katika ulimwengu wa magari ila mwezi wa 5 nataka kununua gari baada ya kuchanga milioni kadhaa kwa ajili hiyo...naomba kufahamishwa hiyo gari mwenye kuifahamu
1.bei kwa mtu au ya kuagiza
2.ubora na comfortability ukiwa kwenye mwendo
3.upatikanaji wa vipuri
4.ulaji wa mafuta
5.matatizo yake kwa ujumla
 
Pa moja bei ya kuagiza inasimama sh ngap...?
Bajet yangu ni 11m
 
Mkuu simu yangu upande wa kulia juu kuna wino so siwezi kusend kwa bahati mbaya
 
Asee hiyo bei pamoja na usajili kaka?
 
Asee bei ipo juu,vip kwa mtu inasimama ngapi...?
 
Habari zenu wakuu samahani kwa kuwasumbua mimi mgeni katika ulimwengu wa magari ila mwezi wa 5 nataka kununua gari baada ya kuchanga milioni kadhaa kwa ajili hiyo...naomba kufahamishwa hiyo gari mwenye kuifahamu
1.bei kwa mtu au ya kuagiza
2.ubora na comfortability ukiwa kwenye mwendo
3.upatikanaji wa vipuri
4.ulaji wa mafuta
5.matatizo yake kwa ujumla
Kwa mashala ya bei nenda kwenye website ya TRA kule chini kuna sehemu ya motor vehicle utaclick hapo then utaingiza specification za gari yako na utaletewa bei halisi na kodi, usitumie bei za maagent kama gari unaagiza nje
 
Back
Top Bottom