Andaa 16/18mPa moja bei ya kuagiza inasimama sh ngap...?
Bajet yangu ni 11m
Grand uandae kama 6000-7000usd CIF kwa hiyo 11m labda utafute Passo. Pale TRA /Bandarini utapigwa kodi ya hatariPa moja bei ya kuagiza inasimama sh ngap...?
Bajet yangu ni 11m
Pa moja bei ya kuagiza inasimama sh ngap...?
Bajet yangu ni 11m
Nenda pale Katalunya madalali wale hiyo hela fastaAsee bei ipo juu,vip kwa mtu inasimama ngapi...?
Kwa mashala ya bei nenda kwenye website ya TRA kule chini kuna sehemu ya motor vehicle utaclick hapo then utaingiza specification za gari yako na utaletewa bei halisi na kodi, usitumie bei za maagent kama gari unaagiza njeHabari zenu wakuu samahani kwa kuwasumbua mimi mgeni katika ulimwengu wa magari ila mwezi wa 5 nataka kununua gari baada ya kuchanga milioni kadhaa kwa ajili hiyo...naomba kufahamishwa hiyo gari mwenye kuifahamu
1.bei kwa mtu au ya kuagiza
2.ubora na comfortability ukiwa kwenye mwendo
3.upatikanaji wa vipuri
4.ulaji wa mafuta
5.matatizo yake kwa ujumla
Kama Ni Lazima Sana kununua Suzuki basi tafuta Swift au Kei. AsantePa moja bei ya kuagiza inasimama sh ngap...?
Bajet yangu ni 11m
Duuh hongeraPa moja bei ya kuagiza inasimama sh ngap...?
Bajet yangu ni 11m