Msaada: Nataka kununua pikipiki, ipi ni bora?

Msaada: Nataka kununua pikipiki, ipi ni bora?

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,378
Reaction score
29,739
Habari zenu!
Kwa wale wazoefu wa pikipiki, naombeni kujua ni aina gani ya pikipiki mpya naweza pata kwa bei kati ya mil 2 mpaka 2.5, na ni maeneo gani hapa Tz, Dar naweza pata nikimaanisha maduka?
Pikipiki ni kwa ajili ya mizunguko binafsi ya hapa Dar, sio kwa ajili ya biashara (boda boda).
Asanteni.
 
Kwanza unatakiwa kuelewa je? Unanunua pikipiki ambayo kwabaadaye utahitaji kuuza au kwamba ata ukihitaji kuuza hautajari hasara zitakazojitokeza. Kama ni hivyo basi njoo Pm au Hapa nikusaidie.
 
boxxa nimeitumia kama mwaka ni nzuri ulaji wa mafuta hauna tofauti sana na pikipiki nyingine za kichina.
 
Kwanza unatakiwa kuelewa je? Unanunua pikipiki ambayo kwabaadaye utahitaji kuuza au kwamba ata ukihitaji kuuza hautajari hasara zitakazojitokeza. Kama ni hivyo basi njoo Pm au Hapa nikusaidie.

Mmeshajua kuwa jamaa ana 2m-2.5m mnampeleka inbox mmpige kamongo
 
Habari zenu!
Kwa wale wazoefu wa pikipiki, naombeni kujua ni aina gani ya pikipiki mpya naweza pata kwa bei kati ya mil 2 mpaka 2.5, na ni maeneo gani hapa Tz, Dar naweza pata nikimaanisha maduka?
Pikipiki ni kwa ajili ya mizunguko binafsi ya hapa Dar, sio kwa ajili ya biashara (boda boda).
Asanteni.
We gamba acha blah blah nenda kko kuna dealers wa pikipiki aina zote
Acha kusumbua server ya jf hapa
 
boxxa nimeitumia kama mwaka ni nzuri ulaji wa mafuta hauna tofauti sana na pikipiki nyingine za kichina.

Boxer zinatengenezwa nchi gani hivi? Zina CC ngapi? Alafu kuna gharama zipi na makadirio yaweza kuwa kiasi gani hapa kati mpaka naiweka mkononi mwangu? Nikimaanisha mambo ya bima nk! Tafadhari.
 
We gamba acha blah blah nenda kko kuna dealers wa pikipiki aina zote
Acha kusumbua server ya jf hapa

Nashukuru! Ila JF ni mpango mzima, si unaona sasa na wewe ushanipatia pa kuanzia?
 
Habari zenu!
Kwa wale wazoefu wa pikipiki, naombeni kujua ni aina gani ya pikipiki mpya naweza pata kwa bei kati ya mil 2 mpaka 2.5, na ni maeneo gani hapa Tz, Dar naweza pata nikimaanisha maduka?
Pikipiki ni kwa ajili ya mizunguko binafsi ya hapa Dar, sio kwa ajili ya biashara (boda boda).
Asanteni.

Chukua Kapor sports 150cc, hutajuta. Bei yake kwa dar inaweza kua ni 2.5 mil
 
Kinetic Striker nzuri kweli, 1 liter per 40Kms, Ina gia 5, Nguvu sana, Ila ni for luxury, Imetulia!!
 
Back
Top Bottom